Sakata la DP World: Kamati ya Bunge Yaahirisha Kupokea Maoni ya Marekebisho ya Sheria za Maliasili ikitaka Ufafanuzi wa Serikali

Kweli una akili kubwa.
 
Utakatishaji unafanyika wala hakuna kitu hapo.
 
Tafuta BIT ya nchi yeyote ulizotaja utakuta yale yale ya kwenye IGA. That’s standard.
 
Rejeta imeanza kuchemshwa nini!
 
Tuwekee hata moja inalolingana na hii IGA Kwa nchi yoyote zinazojitambua.

Japan/Saudi Arabia BIT moja ya nchi ulizotaja.

Sema sehemu gani ya IGA unayodhani inashida nikuonyeshe ipo covered hapo kwenye hiyo BIT ya Japan/Saudi Arabia.

Tofauti ni kwamba IGA ni specific kwa bandari, wakati hiyo BIT ni general. Lakini framework ndio ile ile for the most part.
 
Nchi ya hovyo yenye viongozi makanjanja na raia mbumbumbu,,
 
@ Mayor Quimby,
Kwanza hii BIT kwa nchi mbili ziko level moja. Sio kama JMT na DP World/ Dubai. Wajibu, haki going both ways.

Pili sioni kipengele chochote chenye ukakasi kama makubaliano yetu.

Pitia tena Waraka wa TEC, maoni ya Shivji.
 
Kamati ina uwakilishi mzuri. Waisaidie nchi sasa ipone.🙏🏾
 
@ Mayor Quimby,
Kwanza hii BIT kwa nchi mbili ziko level moja. Sio kama JMT na DP World/ Dubai. Wajibu, haki going both ways.

Pili sioni kipengele chochote chenye ukakasi kama makubaliano yetu.

Pitia tena Waraka wa TEC, maoni ya Shivji.
Huko sasa kunipa kazi ya ziada, kwenda kutafuta ni kasema nini.

Wewe sema hoja zao wanazozano ni shida kwa Tanzania nikuonyeshe na hapo pia zipo.
 
Huko sasa kunipa kazi ya ziada, kwenda kutafuta ni kasema nini.

Wewe sema hoja zao wanazozano ni shida kwa Tanzania nikuonyeshe na hapo pia zipo.
Unaamini UAE ingekubali IGA ya aina hii kupitishwa na Bunge lao, Rais wao Makhtoum na sheria zao kubadilishwa kukizi vigezo vya Watanzania?
 
Vipi mikataba yao ya gesi, uwekezaji, bandari, Airports all ports, mafuta, Ipo kama ya hii ya kwetu?
 
Hizi kamati za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kazi zao ziwe zinafanyika live ktk TV na online wananchi wafahamu weledi wa mdahalo, mapendekezo yao kwa kina kama kamati za baraza la Congress na Senate za Marekani.

Hili la kamati za Bunge la Tanzania kujifungia vyumbani kufanya mazungumzo kwa kificho siyo utawala bora wala ushirikishwaji wa wadau na wananchi kufahamu nini kinaendelea na muswada ulioboreshwa ni upi utapelekwa kujadiliwa na bunge.

12 July 2023
U.S. House of Representatives
The Committee on Energy and Commerce

Chair Rodgers: “America—Not China—Should Lead in Auto Manufacturing”


View: https://m.youtube.com/watch?v=Uh3QZoKD1jg
is the oldest standing legislative committee (established 1795) in the U.S. House of Representatives and is vested with the broadest jurisdiction of any congressional authorizing committee. The Energy and Commerce Committee is at the forefront of all issues and policies powering America’s economy, including our global competitive edge in energy, technology, and health care. The committee is led by E&C Chair Cathy McMorris Rodgers (R-WA) and E&C Ranking Member Frank Pallone (D-NJ).

Source: House Committee on Energy and Commerce
 
Ukijua kuandika kiingereza unaona una point ya msingi....
 
Kamati ya Kudumu ya bunge la Canada masuala ya sheria na haki za binadamu. Kamati hizi kuchakata kwa undani na uwazi kabla ya muswada kufikishwa mbele ya bunge.

Ottawa, Ontario

Canada

Canadian Parliament's Standing Committee Debate on Justice and Human Rights


View: https://m.youtube.com/watch?v=rajCh8MUzdE[/URL]
 
Kamati ya Kudumu ya Mahesabu ya Umma bunge la Jamhuri ya Africa ya Kusini live wakiendesha kikao chao kwa uwazi bila kificho kwa ajili ya utawala bora

Pretoria, Republic of South Africa

South Africa Standing Committee Debate

Standing Committee on Public Accounts, 31 May 2023


View: https://m.youtube.com/watch?v=DgeR7o8h6oc
[The hearing on the South African Broadcasting Corporation (SABC) annual report and financial statements for the financial year 2021/22, all investigations, as well as irregular, fruitless and wasteful expenditures], Committee Room M514, Fifth Floor, Marks Building, Parliament
 
ujui kitu mkuu, hujui financing business, hujui kabisa, huwezi kubadili domestic laws to accomodate international law, that is the highest degree of stupidity, so stupid, only a mind lamed person can do such stupidity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…