Sakata la DP World: Kamati ya Bunge Yaahirisha Kupokea Maoni ya Marekebisho ya Sheria za Maliasili ikitaka Ufafanuzi wa Serikali

ujui kitu mkuu, hujui financing business, hujui kabisa, huwezi kubadili domestic laws to accomodate international law, that is the highest degree of stupidity, so stupid, only a mind lamed person can do such stupidity.
Aliekwambia hiyo ni finance nani. Mimi naongelea sheria na vipengele vya mikataba ya kimataifa.

Embu ingia google tafuta academic papers/vitabu vya ‘stabilisation clauses’ uelewe zinahusu nini, umuhimu wake kwenye mikataba na background yake kwanini watu wakafikiria kuweka hizo clauses.

Hizo sheria za kimataifa zina lengo la kutengeneza implied terms za contract. wakati sheria za mwaka 2017 waliondaa mambo ya biashara za kimataifa inaonekana yanawapiga chenga.

Hakuna shortcut ya kupambana na watu dunia ya leo zaidi yakupeleka kunoa watu wako na wewe.
 
tulia hujui kitu, hakuna msomi mwenye akili akakupa reference ya google, hata mashuleni kwenye reseach ukiweka google unaliwa kichwa, kiufupi hujui kitu na wewe ni mjinga na migoogle yako. siitaji hata kuargue na wewe. mnaelekezwa na wanasheria mnaacha mnathanimini siasa. eti kagoogle ujinga mtupu. mshauza nchi kwa mikataba ya ovyo, unadhani kila mtu mjinga?
 
Huna unachojua zaidi ya uchawa
 
Zito muhuni yule
 
Wewe hata dunia ya leo hujui ilipo kielimu wala wanafunzi wengi wanatoa wapi research material.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anasoma likitabu au sijui kutafuta journal katika first draft ya academic writing. Hata primary research ya Phd chapter 1 and 2 mradi Unafahamu concept/theory na angle yako ya research work.

Google inakupa article, web page (ata journals no one has time for those at first draft) muhimu ni kuelewa tu credentials za mwandishi kama ni news article na web page kama wana authority ya kuandika kuhusu hiyo sector.

Ukishaandika makolokolo yako unaingia electronic library ya chuo kutafuta journal sahihi na hiyo ni kazi rahisi sana kama umeshawahi kutumia hizo library. Kwanza unaanda search criteria, ukimaliza hapo type ‘Boolean search’ inakupa journal zenye concept zile zile kama mia (pick your poison inayofanana na ulichoandika).

If you are lazy like most students are these days na huko library unachukua majina na mwaka for in-text referencing only; ukimaliza huko unarudi ‘google reference’ uki-type same author/s name ya in-text na mwaka wa jarida, voila google washakuandikia reference chagua wewe sasa unataka APA, Havard or whatever ni copy and paste tu.

Hakuna mtu mwenye akili timamu anaandika academic papers kama enzi za Tanzagiza wakati unasoma.

Hiyo ilikuwa kukupa elimu tu jinsi google alivyokuwa mkombozi kwa wanafunzi leo. Ningeshakwita poyoyo at this point, ila inaonekana age yako imeenda ufahamu mambo yanavyofanyika leo.

Hata hao lectures wenyewe baadhi yao siku hizi wanaokota lectures zao google. Chezea google.

Now back to my post sijakwambia uende google tu nimekueleza ukifika huko tafuta academic journals au vitabu vinaovyoelezea umihimu wa stabilisation clause kwenye mikataba ya kimataifa, soma background ya hizo clauses (migogoro ya uwekezaji iliyosababisha watu kufikiria hizo clauses) uelewe kwanini hayo mambo ni muhimu kwenye FDI. Kitu ambacho sheria za 2017 imetoa hizo clauses hasa zile muhimu. Sasa hakuna mwekezaji wa muda mrefu ataingia mkataba bila ya hizo clauses for security reasons zake.
 
Hivi kwani badtola haziuzwi sokoni kama nyanya????ningeonesha mfano kwa mbunge wa jimbo langu ili liwe fundisho kwa majimbo mengine
 
Zito muhuni yule
Kwo mama ndo mtakatifu????yaani mkuu mwanao hata akiwa kibaka haina maana kila jambo atakalotenda litakuwa baya kumbuka hata saa mbovu kuna mda inaongea ukweli
 
Mbunge mmoja wa CCM ameonekana Vatican akisalimiana na Papa wa Kanisa Katoliki la Roma,ni wazi kapeleka ujumbe kwa Papa wa Kanisa Katoliki la Roma kufuatia Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Roma Tanzania kupinga mkataba wa kuiuza bandari ya Dar es Salaam,na nguvu hiyo tayari Serikali imesitisha kukusanya maoni ya kuibadili sheria ya kulinda maliasili za Tanzania inayoitaka kesi ya Maliasili za Tanzania kusikilizwa hapa hapa Tanzania.
 
Bahasha yake ni nzito sana... Ushi humo mkuu!!
 
Bandari na viwanja vya ndege ni milango ya kuingia na kutokea nchini, ni vyanzo vya mapato, huwezi kuviweka kundi moja la maliasili za nchi.

Pale bandarini kipi utakiweka katika kundi la maliasili?. ni yale maji?, ni zile mashine za kushusha na kupakia mizigo?.

Pia bandari inaweza kuongezwa ukubwa au kupunguzwa au kujengwa mpya kabisa kulingana na muda husika, tofauti na rasilimali halisi za nchi ambazo siku zote zinabakia kuwa ni hizo hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…