Salamu humu.
Michuano ya kimataifa inayoendelea sasa hivi kwa Simba na Yanga ambayo inaangaliwa na afrika nzima ilikuwa ni sehemu muhimu Sana kwa dogo Fei kuonyesha dunia kiwango chake na kujipima yeye mwenyewe je anaweza kwenda kucheza kimataifa au abaki humu matopeni.
Sijajua alikuwa na haraka gani kwa nn hakusubiri mkataba wake uishe ndio alizue Jambo.
Sasa ona muda aliokaa benchi ni lazima kiwango kitachuja kwa sababu mwili unaathirika kiakili na kisaikolojia hakuna mazoezi huna mechi unayocheza hata Kama kila siku utaenda beach kujifua ni lazima upate dimba la kukutana na wenzako.
Kama Mungu akimjalia kurudi katika kiwango chake basi liwe ni fundisho.Sikuona haja ya Fei kutoka Yanga na kutafuta tena kucheza humu humu ndani.
Ilitakiwa awe na mahesabu ya kwenda mbele zaidi ya hapa kwa kiwango chake na akumbuke kuwa unapoona kiwango chako kinakua kuna wenzako wanakuwezesha sio kwamba unacheza peke yako ni muhimu kuwaheshimu.
Sasa bahati mbaya ndio hiyo michuano ya kimataifa ameikosa kwa time yake ya Yanga kutokana na haraka yake au kutokupata ushauri mzuri.
Pamoja na pesa lkn Kuna haja ya kutulia katika kufanya maamuzi kwa mustakabali wa maisha ya baadae.
Michuano ya kimataifa inayoendelea sasa hivi kwa Simba na Yanga ambayo inaangaliwa na afrika nzima ilikuwa ni sehemu muhimu Sana kwa dogo Fei kuonyesha dunia kiwango chake na kujipima yeye mwenyewe je anaweza kwenda kucheza kimataifa au abaki humu matopeni.
Sijajua alikuwa na haraka gani kwa nn hakusubiri mkataba wake uishe ndio alizue Jambo.
Sasa ona muda aliokaa benchi ni lazima kiwango kitachuja kwa sababu mwili unaathirika kiakili na kisaikolojia hakuna mazoezi huna mechi unayocheza hata Kama kila siku utaenda beach kujifua ni lazima upate dimba la kukutana na wenzako.
Kama Mungu akimjalia kurudi katika kiwango chake basi liwe ni fundisho.Sikuona haja ya Fei kutoka Yanga na kutafuta tena kucheza humu humu ndani.
Ilitakiwa awe na mahesabu ya kwenda mbele zaidi ya hapa kwa kiwango chake na akumbuke kuwa unapoona kiwango chako kinakua kuna wenzako wanakuwezesha sio kwamba unacheza peke yako ni muhimu kuwaheshimu.
Sasa bahati mbaya ndio hiyo michuano ya kimataifa ameikosa kwa time yake ya Yanga kutokana na haraka yake au kutokupata ushauri mzuri.
Pamoja na pesa lkn Kuna haja ya kutulia katika kufanya maamuzi kwa mustakabali wa maisha ya baadae.