Sakata la Fei Toto, Yanga inachekesha na kusikitisha

Kwa Morrison walituonesha sisi kama nani?
Uwezi kuwapangia cha kufanya, Yaani wasukumwe na kolo linalotaka matakwa yake yatimie kwenye mambo ambayo ayalihusu ulishagaona wapi, Nenda ukaombe nakala ya hukumu utapewa
 
Kwanini swala hili TFF imeamua kulifanya siri haitaki kutoa mchanganuo wa kanuni zilizotumika kuhukumu pamoja na sheria aliyovunja Feisal kila mtu aone

Hiyo ndio hoja yangu mimi
Mchanganuo unatolewa kwa pande mbili zinahusika na shauri husika.
Nyie kama mnataka kusoma huo mchanganuo mtafuteni Mama Faisal atawalezea kama mlivyoelezana mambo ya sukari na ugali.
 
Jamii forum imevamiwa na matakataka sana siku hizi [emoji23][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Endeleeni kushupaza shingo hivyo hivyo muone kama mnamsaidia Feisal..

Sheria ziheshimiwe.
 
Kuna mchezaji pale man u alipelekwa Hadi kikosi Cha watoto lakini hakugoma kwa vile ana mkataba,
Ni muda sasa wale washauri wa Feisal wamwambie afuate utaratibu
 
Kwa hiyo wewe mkuu unaona ni sawa mtu asaini mkataba kabla haujaisha aseme mnanlipa kidogo mniongeze alete janja janja?
Ukimkubalia mmoja basi na wengine watafanya hivyo.
Watu wajifunze kuheshimu mkataba na ndio maana kuna mikataba. Unalipwa kulingana na mapatano na ulivyosaini sio unalala unaamka nimefumga goli nyingi mkataba haujaisha unataka pesa.
Kama alitaka kuvunja mkataba angefuata utaratibu.
Haya makelele hayamsaidii
 
😄😄😄😄 kwahiyo Mkuu unahisi Fei alikua anarubuniwa kuhusu zile 4mil kama vile sisi Madunduka tulivyopigwa chenga ya mwili kwenye ile 20Bil ya Kanjibahi?
 
Wewe ndio mvivu wa kufikiri
Rudio kusoma tena comment yko kwa umakini utagundua una UVIVU WA KUFIKIRI UFINYU WA AKILI nk nk
 
Kwanini swala hili TFF imeamua kulifanya siri haitaki kutoa mchanganuo wa kanuni zilizotumika kuhukumu pamoja na sheria aliyovunja Feisal kila mtu aone

Hiyo ndio hoja yangu mimi
TFF wanatumiwa na wanasiasa, nikiandika uzi humu huwa naona wengine hamuelewi, sasa mtaelewa tu.
 
Mchezaji ambaye haichezei timu ni sawa na mchezaji asiyekuwepo, Binafsi nasubiri hatua za Yanga kwa Fei. Hapo ndo ntajua viongozi akili zao zinataka kunufaika vipi na Fei.
 
Zote ni kuhusu mikataba

Kamati ndio nini?

Sheria hazijabadilika na ipo pia reference recently ya kesi ya Manara ambayo mchanganuo ulifanyiwa mbele ya journalists
Wewe ni wakili wa Fei unahitaji nakala ya maamuzi???
 
Sikutajaria kukuta uzi kama huu Jf uliojaa hisia kwenye mambo ya kimkataba kitu ambacho hata Popoma hawezi kuandika ugoro kama huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…