Research Consultant
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 453
- 772
Sakata hilo MAKOLO ndo wamelishikia bango utadhani anahamia kwao..!! Ngada mbaya sanaNawasalimu kwa Jina la Sports
Niende moja kwa moja kwenye Mada.....
Imekuwa kero sana kila unapofungua social media yoyote ni FEITOTO FEITOTO tuna mpa kichwa Sana Yule chalii mwisho ajione bila yeye No Football Tanzania hii
My Take: Vita aliyoipigania yanga ni kubwa Sana ni sahihi yeye kutafuta changamoto mpya
Aende tu Aende tu hana baya
Umesoma vizuri au macho yako yanashidaUmeandika mashudu
Wanashangilia wakiamini yanga inaweza bomoka, kumbe wapiSakata hilo MAKOLO ndo wamelishikia bango utadhani anahamia kwao..!! Ngada mbaya sana
Wewe ndio ulikuwa hupumui ama?Nawasalimu kwa Jina la Sports
Niende moja kwa moja kwenye Mada.....
Imekuwa kero sana kila unapofungua social media yoyote ni FEITOTO FEITOTO tuna mpa kichwa Sana Yule chalii mwisho ajione bila yeye No Football Tanzania hii
My Take: Vita aliyoipigania yanga ni kubwa Sana ni sahihi yeye kutafuta changamoto mpya
Aende tu Aende tu hana baya
Nakerekwa kila ninapoingia social media nalikuta hilo hilo tuWewe ndio ulikuwa hupumui ama?
Na juzi hapa si wameona jinsi pira daftari lilivyomchapa Azam bila Fei kuwepoWanashangilia wakiamini yanga inaweza bomoka, kumbe wapi
Wanatuombea njaa ajabu wao mechi zao hawashindiNa juzi hapa si wameona jinsi pira daftari lilivyomchapa Azam bila Fei kuwepo
Si afuate taratibu aende, kwani kuna mtu kamzuia!?Nawasalimu kwa Jina la Sports
Niende moja kwa moja kwenye Mada.....
Imekuwa kero sana kila unapofungua social media yoyote ni FEITOTO FEITOTO tuna mpa kichwa Sana Yule chalii mwisho ajione bila yeye No Football Tanzania hii
My Take: Vita aliyoipigania yanga ni kubwa Sana ni sahihi yeye kutafuta changamoto mpya
Aende tu Aende tu hana baya
Hata asipofata utaratibu Yanga wampe ruhusa tu aendeSi afuate taratibu aende, kwani kuna mtu kamzuia!?
Yanga wanahusika vip nayeye amesha vunja mkataba na yupo huru!! Tunacho Subiri kuona ni iyo timu mpya anayokwenda.Hata asipofata utaratibu Yanga wampe ruhusa tu aende
Aende popote sawa tuYanga wanahusika vip nayeye amesha vunja mkataba na yupo huru!! Tunacho Subiri kuona ni iyo timu mpya anayokwenda.
Kwa mujibu wa baadhi ya wadau, Feitoto ametumia udhaifu wa mkataba wa Yanga katika baadhi ya vipengele.
Kwa kipi alichonacho niwe na tatizo nae?Una tatizo binafsi
Anaenda wapi?Nawasalimu kwa Jina la Sports
Niende moja kwa moja kwenye Mada.....
Imekuwa kero sana kila unapofungua social media yoyote ni FEITOTO FEITOTO tuna mpa kichwa Sana Yule chalii mwisho ajione bila yeye No Football Tanzania hii
My Take: Vita aliyoipigania yanga ni kubwa Sana ni sahihi yeye kutafuta changamoto mpya
Aende tu Aende tu hana baya
Wala hakuna Makasiriko ila tuPunguza makasiriko
Linakera hatar sema soon litaisha na itajulikana mbivu na mbichiAnaenda wapi?
Mbona hili jambo kama uzushi?
Azam wanakana kumsajili.
Yanga wanasema bado yupo hadi 2024