Sakata la Feitoto linaenda kuwa sawa na la Morisson Yanga

Sakata la Feitoto linaenda kuwa sawa na la Morisson Yanga

ndomyana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
5,630
Reaction score
2,169
Sioni jipya kwa uongozi wa Yanga juu ya Feitoto kuendelea chezea Yanga. Huyu sio mchezaji wetu tena mimi ningefurahi kua Yanga wangesema tu tumeachana na fei tuangalie mbele mbona tupo vizuri na wachezaji wetu.

Fei juzi kachezea team ya visiwani hata kama friend match ila kavaa uzi mwekundu na nembo ingine. Pili ashaaga Yanga na alituaga mashabiki, tatu Fei ashasema rasmi kaanza majukumu yake mapya na leo amepasha mazoezi huko.

Je, kweli Yanga wanaumiliki au ni zile fix na jambo limeisha?
 
Uto migogoro na wachezaji kwao ni kawaida
 
Sasa kwani ni uongo?
Hivi recently kuanzia misimu mitatu nyuma team gani imekuwa ikigombana na wachezaji wake pale wanapotaka kuondoka?
Tuache ushabiki. Kwani povu lililowatoka Uto lina tofauti gani na povu la Mnyama kwa Deejan? Suala la Morrison, Uto walikuwa wazembe wenyewe lakini hili la Fei, dalili zinaonesha Fei na Azam (au yeyote) hawakufuata taratibu.
 
Si tuliambiwa yupo Avic Town anapiga tizi?
 
Yanga wameumia saaana kumpoteza huyu dogo, huo ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom