Makolo basi mtavamia na umbumbumbu wenuUto migogoro na wachezaji kwao ni kawaida
Sasa kwani ni uongo?Makolo basi mtavamia na umbumbumbu wenu
Tuache ushabiki. Kwani povu lililowatoka Uto lina tofauti gani na povu la Mnyama kwa Deejan? Suala la Morrison, Uto walikuwa wazembe wenyewe lakini hili la Fei, dalili zinaonesha Fei na Azam (au yeyote) hawakufuata taratibu.Sasa kwani ni uongo?
Hivi recently kuanzia misimu mitatu nyuma team gani imekuwa ikigombana na wachezaji wake pale wanapotaka kuondoka?
Kakua kipaji yanga kwa hela za club anaondokaje kijingaYanga wameumia saaana kumpoteza huyu dogo, huo ndio ukweli.