Sakata la Geofrey Mwashiuya: Jerry Muro aumbuka

Sakata la Geofrey Mwashiuya: Jerry Muro aumbuka

DIUNATION

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
2,591
Reaction score
1,719
Baada ya kuropoka na kuwatukana viongozi wa Kimondo Fc kua hawajitambui na hawakua na mkataba na mchezaji waliomdajiri Jofrey Mwashua leo katibu wa Yanga kanda mbozi kuyamaliza na viongozi wa kimondo.
 
Hii inaonyesha maafisa habari hua wanakurupuka au wanalishwa maneno na viongozi wao na kuweka pembeni taaluma zao.Yale yale ya manara leo yamemkuta Jerry Muro.
 
Baada ya kuropoka na kuwatukana viongozi wa Kimondo Fc kua hawajitambui na hawakua na mkataba na mchezaji waliomdajiri Jofrey Mwashua leo katibu wa Yanga kanda mbozi kuyamaliza na viongozi wa kimondo.

Fanya kuihariri basi
 
Baada ya kuropoka na kuwatukana viongozi wa Kimondo Fc kua hawajitambui na hawakua na mkataba na mchezaji waliomdajiri Jofrey Mwashua leo katibu wa Yanga kanda mbozi kuyamaliza na viongozi wa kimondo.

Mkuu hujamalizia, jamaa wanaenda kumshitaki kamati ya maadili make Tiboroha kamruka kasema maneno aliyosema ni yake binafsi na si ya Yanga
 
Yule anakuja Minara naye ni mropokaji sana kama Murro

Manara huwa mkali iwapo waandishi wakileta miswali ya kiunazi.Kumbuka miandishi mingi iko kikutumika tumika haiko professional
 
Kama kweli tiboroha kamruka hatakuwa sahihi. Maadam alikwenda mbozi kukutana na viongozi wa kimondo kumaliza suala la mwashiuya ingekuwa vyema akamaliza kabisa suala la muro halafu akirudi dar amweke chini muro amkanye na amwelekeze awaombe msamaha viongozi wa kimondo hadharani ndio utu uzima na uungwana huo.
 
Yanga haifahamiki kimataifa.!

Nikupe mfano rahisi tu: Nenda kule Ikungulyabashashi mkoani Simiyu; kawaulize swali hili 'Rais wa Marekani ni nani?' Baadhi watatoa jibu sahihi, walio wengi watakuambia hawamjui na wala hiyo Marekani hawaijui pia isipokuwa wanamfahamu Mzee John Momose Cheyo, mwenyekiti wa UDP Taifa.

Vivyo hivyo kutokufahamika kwa Rais wa Marekani kwa wananchi hao hakumfanyi Obama asiwe Rais wa Marekani wala kudhani kwamba Marekani haipo bali ni ujinga (ignorance) tu wa wale watu walioulizwa swali hilo.

Hitimisho:
Kutokufahamika siyo sababu ya kuifanya Yanga isiwe ya Kimataifa, ni ujinga tu wa hao wanaojidai wanafahamu timu za mataifa yote huku wakiwa hawazijui na mbaya zaidi hawajui kwamba hawazijui.
 
Back
Top Bottom