Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Ipo wazi kivipi?Mbona ishu ipo wazi. Yanga waliingia mkataba wa swali na club then wakampa kishika uchumba kagoma. Yanga hawakutimiza ahadi yao kwa wakati kwa club ndipo Simba walipoingilia kati na kuingia mkataba mazima na club na mchezaji. Then club ikarelease leseni, tff wakaiapprove, Case closed. Na vyovyote itakavokuwa Simba hadhuriki kwa chochote hapo
Wewe uliona pre-contract agreement?
Ilianza lini na iliisha lini?
Ili-cover mambo gani? Na katika hayo yapi yalitimizwa na yapi hayajatimizwa?
Simba waliweka hela kabla au baada ya pre contract agreement kuisha muda wake?
Kuna kesi ya kujibu kama Yanga wakiamua kukomaa.