Hawakuona kitu? Are you sure? Inawezekana walisema kuwa hawakuona kitu lakini mazingira yanaonesha kuwa waliona kitu, ila hawakusema. Lakini kweli wewe na akili zako can you trust PCCB?
SHELUKINDO AMETOA HOJA KWA KUSEMA:
Kwa kuwa suala la tatizo la umeme ni la kitaifa na inapofikia njia mbadala kutafuta umeme wa dharura lazima iwe ya uhakika, kwa kuwa kampuni ya Richmond ilipewa na kushindwa kufanya kazi hiyo, na kwa kuwa suala zima la Richmond limezua maswali mengi ambayo yanahitaji majibu, hivyo Bunge liunde kamati teule kuchunguza
Kamati itakavyotumia vigezo pana zaidi kuliko vya TAKUKURU…. Naomba kutoa hoja
WAMEPIGA KURA NA WALIOAFIKI WAMESHINDA KWA KUSEMA NDIYOOOOOOOOOOO
BUNGE LIMEAMUA KUUNDWA KW AKAMATI TEULE KUCHUNGUZA ZABUNI YA KAMPUNI YA RICHMOND NA TANESCO...
Mwafrika wa Kike, kwa taarifa yako Dr Mwakyembe pamoja na kuwa CCM, lakini ana msimamo kama vile yuko upinzani; hataki ku-entertain ufisadi unaondelea ndani ya serikali ya CCM ... kwa inaonekana JK anataka kufanya kweli this time!
MWakyembe anaonekana katika kamati zote mbili ya Richmond na ile ya Madini... bye 4 now
Spika kasema hivyi
"Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeamua kwamba iundwe kamati teule ya kuchunguza mchakato mzima za zabuni ya Richmound Development Cooperation"
Spika amewateua wajumbe wa kamati hii.
- Harison George Mwakiembe
[[/I]
Hivi hakuna wabunge wengine wanaojua kuandika Ripoti zaidi ya huyu bwana? Kutakuwa na kitu hapa
Mbona hawa kazi yao ni rahizi waje tu hapa JF wadownload nondooooz na kucompile.. Tatizo ni kwamba lazima ieditiwe na kiranja mkuu??? EL
Huyu Mwakyembe ndiye spin master wa serikali kwenye mikataba hii kwa hiyo lazima wamuweke ili awasaidie jamaa zake. Ukweli ni kuwa jamaa ni smart kwa hiyo tegemea bonge la spin toka kwa huyu bwana!