Hili ndio jukwaa la Intelligence halisi. Watu walijadili mambo kwa mapana na ukwandani hasa yaliyohusu mustakabali wa nchi yetu. Watu walijua issues za ndani kabisa serikalini Wapi [HASHTAG]#Fmess[/HASHTAG] [HASHTAG]#Gametheory[/HASHTAG] [HASHTAG]#Jasusi[/HASHTAG] # . Siku hizi ukichungulia humu unakutana na stori zilizofasiriwa tuu,mara kifo cha kennedy,mara uislam hivi,Ukristo vile,tafrani tupu,Naona ktk ile timu ya enzi zile ni mzee mwanakijiji peke yake ndio yupo yupo kwa sana. Hili jukwaa limevamiwa kwakweli.