Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

Sakata la Kashfa ya Richmond: The Facts

fanya hima kidogo niupate kabla hata Kaimu Rais hajarudi,EL anakutafuta sana coz kuna mtu wa PMO kaniambia anataka kujua unafananaje?

heheheheheee Mwambie mwanakijiji anafanana na mwanakijiji. Mwanakijiji wawekee ile picha yako hapa ile umevaa shati lilochanika ukiwa unachuma bangi shamabi ili wakuone.
 
Richmond contract leaked

THISDAY REPORTER


THE Richmond power generation contract leaked to THISDAY has confirmed that the controversial agreement signed under strange circumstances last year does not provide for the re-assignment of the deal to Dowans Holdings S.A of the United Arab Emirates, which took over the project last December.

Article 15.14 of the contract signed on the night of June 23, this year, at the Ministry of Energy and Minerals in Dar es Salaam clearly states that there shall be no third parties to the agreement other than Richmond Development Company itself and the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO).

’’This agreement is intended solely for the benefit of the parties and nothing in this agreement shall be construed to create any duty to, standard of care with reference to, or any liability to, or confer any right of suit or action on any person not a party to this agreement other than to the extent it has been granted specific rights or benefits in this agreement,’’ says the contract.

After the Richmond deal went bad, the government announced last December that Dowans Holdings had assumed all contractual obligations and responsibilities vested on the US-registered company.

However, it now appears that the agreement between Richmond and TANESCO does not provide for transfer of any liability or duty of care to Dowans.

In fact, as stated in black and white in article 8.2 of the contract, the agreement only allows a sub-contracting arrangement, with Richmond remaining as the main implementing company.

’’The subcontracting by the supplier (Richmond) of any of its obligations under this agreement shall not relieve the supplier of any of its obligations or potential liabilities under this agreement,’’ says the contract.

The state-run Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) casts serious doubts on whether the government would be able to recover penalty fees from Dowans for delayed power generation because of a lack of binding contractual agreement on this specific matter.

Article 4.4 on delay damages states in part that in the event that Richmond ’’has not commissioned the plant by the required commercial operations date (February 2, 2007), then TANESCO shall be entitled to liquidated damages of $10,000 (approx. 13m/-) per day from the supplier (Richmond) after the required commercial operations date and expiring on the date on which the supplier commissions the plant.’’

The penalty fees have led to Dowans now owing the government an accumulated fine of $2,430,000 (over 3bn/-).

On the other hand, the PPRA report on TANESCO highlights the fact that the contract between Richmond and the public power utility does not provide for re-assignment of the agreement to Dowans, hence creating complications in the recovery of the 3bn/- penalty.

’’There is no agreement between the parties (in the original contract) as to how the amount would be claimed from Dowans Holdings,’’ the report of the procurement regulator notes.

According to the PPRA report, the performance guarantee was also surprisingly withdrawn from the list of requirements by the government during the negotiations with Richmond.

The crucial performance guarantee was removed from the contract by the government negotiation team contrary to TANESCO’s own wishes.

The 25-page Richmond contract leaked to THISDAY with annexes A to F, shows that the agreement was signed by Hans Lottering from NETGroup Solutions (Pty) Limited in his capacity as the Acting Managing Director of TANESCO and Mohamed Gire, the Manager of Richmond Development Company.

At the time the highly-controversial deal was signed, TANESCO was being managed by South Africa’s NETGroup Solutions.

The Acting company secretary of TANESCO, Godson Makia, signed the agreement as a witness for the public utility while prominent advocate Dr Ringo Tenga was the witness on Richmond’s side as its company secretary.

Earlier exclusive reports by THISDAY have revealed that the government’s procurement watchdog uncovered ’political influence’ and remarkable meddling by ’higher authorities’ in government in TANESCO’s tender process for the contract, resulting in Richmond emerging bid winners.

According to the PPRA findings, TANESCO was literally bulldozed to sign the contract despite the power utility’s initial rejection of Richmond.

It is further asserted that the contract was ’’signed in strange circumstances, at night and at the ministry, with some contractual issues protecting the client having been ignored as there was no room for TANESCO to review the draft contract and the company secretary does (did) not know who drafted the contract.’’

The report states that not even TANESCO’s company secretary - as the company’s chief legal advisor ? was aware of ’’who drafted the contract’’. with Richmond.

Source: ThisDay
 
Mambo ya serikali ya awamu ya nne ... mkataba unasainiwa usiku, sijui wanatumia nguvu za giza??? Mwaka huu tutaona na kusikia mengi na huu ni mwanzo tu. Ndanda Kosovo njoo au mtume Nguba akanushe kwamba mkataba wa Richmond uliovuja ni fake au tumia sheria ya TAKUKURU kuzuia kuongelea mkataba wa Richmond.

Halafu Hoseah pamoja na kuwa mwanasheria mahiri aliyebobea anasema Richmond ilikuwa swafi! Hivi akisoma hii news atajionaje? Kwanini asijiuzulu? Nitamshangaa sana kama atakaa kimya bila kusema lolote vinginevyo itabidi tuombe hiyo report yake iliyosafisha dili la Richmonduli na kusema mambo ni swafi na kumbe ni uozo mtupu!!!!! Halafu bado wanataka tuendelee kuwa na imani na PCCB!
 
huyu DK.Ringo Tenga atakuwa naye ni fisadi tu kama Mkono,angalia amekuwa akitetea wahujumu uchumi.Rejea kesi ya Prof Mahalu,Tunataka kujua je alilipwa sh. ngapi?na inavyoonekana yeye ndiye alidraft contract hiyo akishilikiana na Wezi wengine wa Wizra ya Nishati na Madini!!

sitaki kuamini nchi yetu ina watu mazuzu,
sitaki kuamini wana wa watanzania wanawapenda sana sisiemu,
Sitaki kuamini kwamba Mafisai haawawezi kug'oka,
sitaki kuamini Kikwete haona kinachofanyika,

Mungu Naomba unisaidie sababu natamani kuwachoma moto mafisadi wote kabla haujawachukua!
 
Yeyote aliye na contacts za Mchambuzi Maasai Worrier-Morani the Quiter naomba anipatie maana sasa tunamhitaji zaidi kuliko kipindi kile alipoanza premature campaign ya kutuambia EL ndiyo next presida!
 
Yeyote aliye na contacts za Mchambuzi Maasai Worrier-Morani the Quiter naomba anipatie maana sasa tunamhitaji zaidi kuliko kipindi kile alipoanza premature campaign ya kutuambia EL ndiyo next presida!

Mtumie kwenye e mail yake naamini anaweza kupata. Inawezekana pia yupo humu lakini kwa jina lingine mwanangu.
 
Article 15.14 of the contract signed on the night of June 23, this year, at the Ministry of Energy and Minerals in Dar es Salaam clearly states that there shall be no third parties to the agreement other than Richmond Development Company itself and the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO).
Sasa serikali ilipomlipa Dowans 19.5bn shillings ililipa kwa misingi ipi wakati hicho kipengere hapo juu kiko wazi kabisa. Halafu huyo Richmondulian ndio bado anapeta tu? sio ajabu anatetea mkataba mwingine bomu wa Buzwagi maana anafahamu his ass is dirty.
 
This is terriblle, Toka Muungwana ameingia madarakani issue za ajabu zimetokea.

Hii nchi yetu inaenda wapi, Upole wetu waTZ unatupeleka pabaya. We need to rise kutetea maslahi ya nchi yetu na watu wake. Siamini kama kweli nchi yetu ni maskini kiasi hiki kiasi cha kubaki ombaomba.
 
Unajua lazima tukubali kuwa pamoja na uozo unaofanyika, Muungwana anaonekana ni mtu ambaye kwa kiasi fulani anaheshimu uhuru wa media. Kama ungekuwa ni utawala wa Ben nadhani gazeti kama This Day lingekuwa limefutwa, au kama angekuwa ni kiongozi mwingiine tungesikia kuwa waandishi wa This day wamepotea, wamepewa scholarships kwenda kusoma au wamekufa.
Hata hivyo sidhani kama sasa ndio issue ndio zinatokea, zilikuwepo toka enzi za Mwinyi, Mkapa lakini kipindi hicho kutishia waandishi wa habari kulikuwa kukubwa kuliko sasa hivi.
Hata hivyo mwamko na uwezo wa wabongo unazidi kuwa mkubwa tofauti na miaka kumi iliyopita
 
Nadhani mchambuzi karudi tena JF kaa Demu?
tena anatumia jina linaloanzia na J.
kipindi hiki hakuna siri katika serikali hii ndio maana madudu mengi yameanza kuanikwa wazi..nasikia kipindi cha mkapa,alikuwa anatumia intranet na washirika wake wa karibu(kina Yona,Kigoda,na Mjomba Sumaye)na alikuwa anawaamini asilimia mia.mambo yote alikuwa anayaweka humo ndani na wanadiscuss nini cha kufanya(kwa kifupi mkapa anendesha mambo yake kisanyansi,na ukimugeuka tu anajua..ndio maana ilikuwa ni vigumu kujua alichokuwa anafanya katika PANGO LA WANYAN'GANYI.na inasemekana mpaka sasa antumi intranet hiyo na washirika wake..hizi kashfa za kiwira hawezi kuzijibu sababu anajua hamna ushahidi wa kutosha zaidi ya kujua kuna mkataba na kampuni yake na Yona.

you will neva see Mkapa pale Maelezo akijibu tuhuma hizi,wewe hauoni hata katika vikao vya CC-sisisemu analikwa ila hauzulii?

serikali ya Jk kila mtu ni mpishi,kila mtu anweza kujua nchini kunafanyika nini..But it is good now tunaweza kujua nchi inaliwa na kwanini hatutakiwi kuwachagua mafisadi kuongoza nchi.
 
Dr. Tenga!!! Kazi ipo. ni Rafiki mkubwa wa Dito, Dito rafiki mkubwa na wakaribu wa Kingwendu,

so what do you expect
 
Dr. Tenga!!! Kazi ipo. ni Rafiki mkubwa wa Dito, Dito rafiki mkubwa na wakaribu wa Kingwendu,

so what do you expect
yaani uhuni mtupu,ndio maana kipindi kile cha uchaguzi wa Nec watu walisema kingendu Muhuni..Si nini hiki,Ditto anawatusi watu tu kwa sababu anjua hawezi kufanywa chochote..na kwa habari za uhakika zitto anatumia Gani La Serikali..sas sijui kwa madaraka yapi aliyonay?utawal gani huu ulio bora na wa kisheria?
 
Unajua lazima tukubali kuwa pamoja na uozo unaofanyika, Muungwana anaonekana ni mtu ambaye kwa kiasi fulani anaheshimu uhuru wa media. Kama ungekuwa ni utawala wa Ben nadhani gazeti kama This Day lingekuwa limefutwa, au kama angekuwa ni kiongozi mwingiine tungesikia kuwa waandishi wa This day wamepotea, wamepewa scholarships kwenda kusoma au wamekufa.
Hata hivyo sidhani kama sasa ndio issue ndio zinatokea, zilikuwepo toka enzi za Mwinyi, Mkapa lakini kipindi hicho kutishia waandishi wa habari kulikuwa kukubwa kuliko sasa hivi.
Hata hivyo mwamko na uwezo wa wabongo unazidi kuwa mkubwa tofauti na miaka kumi iliyopita

Usidanganyike ndugu yangu, hapa mkwere yuko njia panda MCC wako mbele kupambana na ufisadi ili mkopo wao usipotee bure, na baadhi ya vyombo vya habari vinanufaika na ruzuku hii ya MCC Mkwere akitia mkono ahadi zake zote zitakuwa hewa kwani hawa mabwana watafreeze kila kitu.

Mwenye mahojiano ya balozi wa marekani na gazeti la Tanzania daima ayaweke hapa mtaelewa kwa undani chungu na utamu ya misaada.

pitia hii document uone goals za MCC
 

Attachments

na kwa habari za uhakika zitto anatumia Gani La Serikali..sas sijui kwa madaraka yapi aliyonay?utawal gani huu ulio bora na wa kisheria?

ni ditoo na si zitto,hawa jamaa ni wachawi sana mpaka nimeteleza
 
ni ditoo na si zitto,hawa jamaa ni wachawi sana mpaka nimeteleza

yay.gif


Pole sana mkombozi,

Kwani Zitto hatumii gari la Serikali mkuu?
 
This is terriblle, Toka Muungwana ameingia madarakani issue za ajabu zimetokea.
Hii nchi yetu inaenda wapi, Upole wetu waTZ unatupeleka pabaya. We need to rise kutetea maslahi ya nchi yetu na watu wake. Siamini kama kweli nchi yetu ni maskini kiasi hiki kiasi cha kubaki ombaomba.

Hivi mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!!

Mambo ambayo yametokea na kusababishwa directly na Awamu ya nne japo kwa 75% ni:- mengine ni taarifa tunazozipata kwa kuwa watu wanakuwa huru zaidi, mfano wa mambo yaliyoongelewa kwenye maadhimisho ya nyerere watu wengi wamethubutu kuongea mambo ambayo walikuwa hawawezi,,,tena wengine wasomi wazuri sana....

1. Richmond Saga, ambalo ni matokeo ya pressure ya matatizo ya umeme na ukame, tatizo ambalo alirithi, nakumbuka akina Jenerali Ulimwengu walivyokuwa wanaipressure serikali itangaze hali ya hatari, ili taratibu za Procurement zifuatwe ili kupata suluhisho la umeme haraka.

2. Buzwagi, ambapo tatizo ni sheria yenu ya madini, mpaka sasa hakuna aliyesema amekosea kifungu gani cha sheria..., other than kwamba London hotelini, etc etc..

3. Nikumbusheni...


Mengine ni ya kurithi tu!!! sasa kwa kuwa yanatokea kipindi chake na watu ni wasahaulifu basi kila kitu kimetokea kutoka kwa Awamu ya nne...

Ukiniuliza naona awamu ya nne imesababisha watu(individual, taasis, NGOs) etc kuwa na huru kujadili mambo ya kitaifa na kwa uwazi zaidi hili ni jambo jema kwa serikali....


Awamu ya nne iliweka wazir marosoroso ya Auditor General reports kwa mahesabu ya serikali kwa ajili ya wananchi wafahamu na viongozi husika wafuatilie.

Jamaa wamebadilisha sheria ya rushwa,,, na sasa sio sheria ya bribery bali ya corruptions,,, hii imesababisha at least hata kwenye CCM watu wamekemewa au imeonekana sio jambo tena la kawaida...

Takrima is out!

Naomba kuendelea kuelemishwa maana nadhani kama ni Ben abebe mzigo wako na kama ni Jakaya pia abebe mzigo wake!
 
Zitto mara kwa mara huwa anatumia gari la serikali, maana kuna wakati huwa amewahi Kukaimu nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni ama akiwa katika majukumu yake ya Ukatibu wa Upinzani Bungeni ambao wana gari (STJ) na dereva wa serikali. Lakini pia kwa nafasi yake Mbunge ni kiongozi wa serikali. Sasa Ditto ana nafasi gani? Inawezekana ana "Kazi maalumu".

Lakini jamani Kama Ditto anatumia gari ama hatumii, lisitushughulishe, kwanza ni kiongozi ambaye pamoja na 'makeke' yake anathubutu kukemea UFISADI, na ndio maana kuna wanaoshangilia sana kupata kwake "AJALI" ya kuua dereva wa daladala. Mwisho tusipoteze muda kujadili Ditto tukasahau "RICHMOND"... Nimeona niwahi ili tusikubali kubadilishwa mwelekeo.
 
Back
Top Bottom