Sakata la kifo cha katibu wa Masanja na kile alichotuachia

Huyo Katibu wa Masanja alijinyongea wapi? Huyu Monica na Mama msindikizaji walipoenda kumuonya Marehemu hapo Nyumbani kwake walimukuta peke yake? Mkewe alikuwa wapi?

Kifupi napenda kufahamu pia katibu alikuwa akiishi peke yake hapo nyumbani? Kumbe Pastor Mgongo alikuwa ana maono aliposema katibu anakula sauti ya kwanza mwenyekiti anakuka sauti ya pili.
 
Kajiua kisa mapenzi kwani ajabu mkuu, penzi la mke wa mtu limemfanya akajiua na yeye sio wa kwanza

Haijawahi kutokea mwanaume ajiue kisa Mke WA Mtu wakati yeye anamke wake, na haitokuja kutokea.
Labda wadanganywe watoto
 
N
Leo nimekukubali, uko sahihi asilimia 100
 
Haijawahi kutokea mwanaume ajiue kisa Mke WA Mtu wakati yeye anamke wake, na haitokuja kutokea.
Labda wadanganywe watoto
Acha uongo kwa hiyo unahakika kila tukio la mauaji linalohusiana na mapenzi unajua chanzo chake,

Kuna vifo vingi vinavyotoka na mapenzi na haviripotiwi na vymbo vya habari punguza ujuaji na ku-generelise mambo
 
Msaliti hafai hata kidogo

Mtu akikusaliti, sana sana mwanamke, hupaswi endelea naye

Hupaswi mwamini mwanamke yeyote yule
 
Lakini kama unachukua mke wa mtu ipo siku yatakukuta tu
Siku zote mshahara wa dhambi ni mautu
 
πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…