Sakata la kununua viewers: Ommy Dimpoz na Ali Kiba waumbuliwa na mwakilishi wa Youtube E/Africa

Mi nafikiri wanaosema Diamond ananunua views watuthibitishie hilo pasina kuacha shaka. Otherwise acheni kelele.
 
Ananunua hadi thread JF [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Suala LA kununua viewers lipo but msemaji wa YouTube alisema ukikamatwa ndo ishu tatizo kwenye kudadavua vitu tunAleta ushabiki .,,,,mbna Universal music walikuwa wanafanya hivy but account yao wakaifunga
 
kuna mwanaume hapo nimemwona kajizoesha pozi la stali ya kukonyeza na kukunja mdomo kama mtu anayesikilizia utamu wa bazoka, shame huu ni ubwabwa pumbaav
 
usipo wauliza you tube unataka waulizwe wakina nani? You tube hawawezi kukuruhus ununue views halafu wao wakulipe hela...unatumia kichwa? kwanza umesoma kilicho andikwa?
Ungesoma finance /investment usingejibu kiboya hivi
 
Kwani inashindikana kuwa huyo muwakilishi ndo mmoja kati ya wauzaji wa viewers?...mjini hapa kila mtu anakula ofisini kwake Mkuu..ukitaka kuiba benki chonga na mfanyakaz wa benki uwongo uwongo?
 
Viwanda vikianza kazi mijadala kama hii itapungua maana wachangiaji wengi watakuwa busy kuungurumisha mashine Nyerere Road.
 
Unajua watanzania wajinga sana

Mnaona kabisa dogo ana mafanikio lukuki...na yanaonekana

Basi na ninyi mnunue ili muwe na mafanikio

Ujinga mtupu wa loosers
 
Kwa akili yako ndogo ulitaka aseme alikuwa anamlenga domo kama hujui kusema ata picha tu huoni..???
 
Sasa mlidhan watakubali hao youtubewaharibu soko lao? Kiukweli Views unaweza kueanunua kabida....

Hata mimi ningekana haeanunui kulinda biashara...
Machiz wachache sana kama ww , uruhusu MTU anunue viewers halaf uje umlipe tena kutokana na viewers zake c u shwain huo?
 
Mwakilishi Wa you tube hajasema kununua views haiwezekani ,amesema kununua views YouTube ni vigumu kutokana na mfumo wao Wa security.

Tofautisha kati ya VIGUMU na HAIWEZEKANI sio unakurupuka tu.

Watu wanahuck CIA itakuwa You tube.
 
Mwakilishi Wa you tube hajasema kununua views haiwezekani ,amesema kununua views YouTube ni vigumu kutokana na mfumo wao Wa security.

Tofautisha kati ya VIGUMU na HAIWEZEKANI sio unakurupuka tu.

Watu wanahuck CIA itakuwa You tube.
The problem majority issue ya YouTube hamuijui...! Yes, inawezekana; swali linalofuata ni Views wa aina gani?! Kuna Organic and Inorganic/Automated Views! Hawa Inorganic inawezekana; tena sana! Unaweza kupata hata 50,000 within few hours! The problem ni kwamba, ukishanunua hawa Automated Views, hesabu umeliwa! Kama unaenda kitandani saa 2 usiku ukiwa umeacha Views 50,000; hesabu hadi unaamka kesho yake unakuta Views 30,000! Na baada ya wiki moja; si ajanu ukakuta hawafiki hata 5000! Wanaonunua Views wa aina hii ni wale wasiojua haya mambo yanaendaje... kasikia; au ka-Google "How to Buy Views" nae akaingia kichwa kichwa!

Organic Views ni watu halisi... hawa HAIKATAZWI na wala sio aibu kununua! Ni bahati mbaya sana hapa jina linalotumika nalo ni kununua na hivyo watu wanadhani unaweza kununua kama hao Automated Views... HELL NO! Views wa hili kundi ni kwamba; assume wewe unataka Views 50,000 na hiyo kazi unanipa mimi! Nitakachofanya mimi ni kui-promote video yako kwenye mitandao mbalimbali duniani hadi nifikishe hao Views 50,000! SIO KAZI NDOGO hiyo ndugu... ni kazi pasua kichwa! Huwezi kuwa na ubavu wa kupata Views 50K within hours or even Days just by promoting someone's video... HUWEZI! Na hata hao wanaodanganya kuuza Views hawatumii hii njia manake wanafahamu hawawezi!! Majority, kama sio wote wanauza Automated Views!!! Sasa unless uwe ni smart IT Guru unayewazidi ma-IT wote wa Google na YouTube ndipo labda unaweza kutengeneza alogarithm itakayoshindw kuwa detected na systems za Google/YouTube!!! Hiyo nayo si kazi ndogo na ndio maana, ukinunua hao 50K; baada ya wiki utakuta wamebaki ONLY 500 ambao ni real people!!!

Kwahiyo, all in all, iwe kununua organic or aautomated views, vyote inawezekana lakini kwa ununuaji wanaosema watu ni almost to impossible... anyway; kununua utakuwa umenunua lakini utakuwa umenunua fake views!
 
Kwa akili yako ndogo ulitaka aseme alikuwa anamlenga domo kama hujui kusema ata picha tu huoni..???
Siwez bshana maana interview hata ukuckiliza inavoonyesha yeye mwenyw alikiri aliwai fanyiwa ivo so ujumbe ulkua ni kwa wale wahusika

Af ommy na plat walikua mahomie so braza u never know till u dig it unless unambie we ndo promoter wake
 
Siwez bshana maana interview hata ukuckiliza inavoonyesha yeye mwenyw alikiri aliwai fanyiwa ivo so ujumbe ulkua ni kwa wale wahusika

Af ommy na plat walikua mahomie so braza u never know till u dig it unless unambie we ndo promoter wake
Sasa na yeye si anunue au hana pesa, au ni kosa ka jinai kununua viewers youtube na ukigundulika ni death sentence.
Mwambieni Ommy na kiba nao wanunue kama hawawezi basi wakaushe
 
Sasa na yeye si anunue au hana pesa, au ni kosa ka jinai kununua viewers youtube na ukigundulika ni death sentence.
Mwambieni Ommy na kiba nao wanunue kama hawawezi basi wakaushe
Apo ndo sina uwezo wa kupeleka ujumbe kama unavyoweza ww
 
Mwakilishi Wa you tube hajasema kununua views haiwezekani ,amesema kununua views YouTube ni vigumu kutokana na mfumo wao Wa security.

Tofautisha kati ya VIGUMU na HAIWEZEKANI sio unakurupuka tu.

Watu wanahuck CIA itakuwa You tube.
Amesema kununua inawezekana ila ads zitaonekana kwenye system yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…