Sakata la kununua viewers: Ommy Dimpoz na Ali Kiba waumbuliwa na mwakilishi wa Youtube E/Africa

Sakata la kununua viewers: Ommy Dimpoz na Ali Kiba waumbuliwa na mwakilishi wa Youtube E/Africa

Wanajamvi wasalaam,

Baada ya Ommary Nyemo kumtuhumu wazi wazi Nassibu Abduli kuwa ana nunua views na tunzo bila kuwa na uthibitisho na bila aibu Ommary Nyemo ili kuwathibitishia watu kuwa kuwa watu hununua views alisema kuwa hata yeye aliwai kutaka kununua...

Lakini kabla ya hayo tuhuma hizo dhidi ya Nasibu Abduli zilikuwa zinatolewa kwa uwoga na msanii Ali salehe lakini wengi wafatiliaji walikuwa wanaelewa kuwa anaye tuhumiwa ni Nasibu Abduli..pamoja na hayo yote msanii Ali Salehe kwakuwa huwa anaogopa kumsema wazi Nasibu Abdul hivyo akaona ni vyema aanze kumtumia Ommary Nyemo kumshambulia na kumtuhumu Nasibu Abduli....

Wanasema uongo ukiongelewa sana bila kukanushwa au kutolewa ufafanuzi hugeuka kuwa ukweli na wale wsiojua ndio huamini kabisa ni kweli.

Leo Clouds Fm waliamua kumtafuta muwakilishi wa You tube East Africa kumuuliza kama kweli watu wanaweza kununua views au viewers na wao wasigundue na kuchukua hatua..

Kwanza Mwakilishi yule aliweka wazi kabisa wao hapa East Afrika wanasimamia na ku control you tube channel za wasanii baadhi East Africa na kwa Tanzania wanasimamia Channel za kina AY,Mwana FA, wasanii wa wasafi wote na Alikiba.

Mwakilishi huyo aliendelea kufafanua kuwa ni vigumu mtu kununua viewers you tube na wasigundue na kuwaondoa na akaendelea kusema You tube ina wataalam wabobezi sana na wanajua kuna watu wanaweza fanya hivyo na hivyo wamejidhatiti sana kumfumo.

Aliendelea kusema kuwa kama ukinunua views wanafungia account yako na hutoweza kufungua account yeyote ile google na gmail account wanaifunga na alisema kuwa kamwe hawawezi kumruhusu mtu kununua views halafu waje kumlipa na haiwezekani.

Alipo ulizwa kuhusu Diamond kununua views alisema hakuna kitu kama hicho na hawewezi kuruhusu mtu anunue views halafu waje kumlipa na kamwe hawatoruhusu hilo hivyo habari hizo si kweli.

Hivyo mwakilishi wa You tube amehitimisha tuhuma na kufunga mjadala mzima juu ya ununuaji wa viewers na ni wazi habari hizi zimewavua nguo marafiki wa karibu sana Ommary Nyemo na Ali Salehe.

Ni ukweli ulio wazi Omary Nyemo na rafiki yake wa karibu sana Ali Salehe wanapaswa kujitokeza hadharani nakumuomba radhi Bwana Nasibu Abdul.

Karibuni wana jamvi..



Chanzo: Clouds Fm


acha mahaba na mapenzi binafsi
huyo aliyehojiwa ndo anahusika kwe biashara nzima
..unaenda muuliza mwalimu mkuu kama shule huwa inaiba matokeo..shenzi..

reality is its possible to buy views

https://devumi.com/youtube-views/

I bought myself 60,000 YouTube views for Christmas
mitanzania kweli haipendi fanya reserch
 
Wanajamvi wasalaam,

Baada ya Ommary Nyemo kumtuhumu wazi wazi Nassibu Abduli kuwa ana nunua views na tunzo bila kuwa na uthibitisho na bila aibu Ommary Nyemo ili kuwathibitishia watu kuwa kuwa watu hununua views alisema kuwa hata yeye aliwai kutaka kununua...

Lakini kabla ya hayo tuhuma hizo dhidi ya Nasibu Abduli zilikuwa zinatolewa kwa uwoga na msanii Ali salehe lakini wengi wafatiliaji walikuwa wanaelewa kuwa anaye tuhumiwa ni Nasibu Abduli..pamoja na hayo yote msanii Ali Salehe kwakuwa huwa anaogopa kumsema wazi Nasibu Abdul hivyo akaona ni vyema aanze kumtumia Ommary Nyemo kumshambulia na kumtuhumu Nasibu Abduli....

Wanasema uongo ukiongelewa sana bila kukanushwa au kutolewa ufafanuzi hugeuka kuwa ukweli na wale wsiojua ndio huamini kabisa ni kweli.

Leo Clouds Fm waliamua kumtafuta muwakilishi wa You tube East Africa kumuuliza kama kweli watu wanaweza kununua views au viewers na wao wasigundue na kuchukua hatua..

Kwanza Mwakilishi yule aliweka wazi kabisa wao hapa East Afrika wanasimamia na ku control you tube channel za wasanii baadhi East Africa na kwa Tanzania wanasimamia Channel za kina AY,Mwana FA, wasanii wa wasafi wote na Alikiba.

Mwakilishi huyo aliendelea kufafanua kuwa ni vigumu mtu kununua viewers you tube na wasigundue na kuwaondoa na akaendelea kusema You tube ina wataalam wabobezi sana na wanajua kuna watu wanaweza fanya hivyo na hivyo wamejidhatiti sana kumfumo.

Aliendelea kusema kuwa kama ukinunua views wanafungia account yako na hutoweza kufungua account yeyote ile google na gmail account wanaifunga na alisema kuwa kamwe hawawezi kumruhusu mtu kununua views halafu waje kumlipa na haiwezekani.

Alipo ulizwa kuhusu Diamond kununua views alisema hakuna kitu kama hicho na hawewezi kuruhusu mtu anunue views halafu waje kumlipa na kamwe hawatoruhusu hilo hivyo habari hizo si kweli.

Hivyo mwakilishi wa You tube amehitimisha tuhuma na kufunga mjadala mzima juu ya ununuaji wa viewers na ni wazi habari hizi zimewavua nguo marafiki wa karibu sana Ommary Nyemo na Ali Salehe.

Ni ukweli ulio wazi Omary Nyemo na rafiki yake wa karibu sana Ali Salehe wanapaswa kujitokeza hadharani nakumuomba radhi Bwana Nasibu Abdul.

Karibuni wana jamvi..



Chanzo: Clouds Fm

Watu wanavunja sheria za nchi itakuwa youtube? kitu cha kawaida sana hicho zinanunuliwa hata likes za KitabuSura na instagramm lakini waulize wanaoendesha hiyo mitandao kama wanalitambua hilo...
 
Mkuu inaonyesha huelewi dunia ya sasa mambo yanaendaje unaamini kila unachoambiwa na wakubwa
 
acha mahaba na mapenzi binafsi
huyo aliyehojiwa ndo anahusika kwe biashara nzima
..unaenda muuliza mwalimu mkuu kama shule huwa inaiba matokeo..shenzi..

reality is its possible to buy views

https://devumi.com/youtube-views/

I bought myself 60,000 YouTube views for Christmas
mitanzania kweli haipendi fanya reserch
usipo wauliza you tube unataka waulizwe wakina nani? You tube hawawezi kukuruhus ununue views halafu wao wakulipe hela...unatumia kichwa? kwanza umesoma kilicho andikwa?
 
Mkuu inaonyesha huelewi dunia ya sasa mambo yanaendaje unaamini kila unachoambiwa na wakubwa
Kwa hiyo hata Ali Salehe naye ananua views?
 
siku nyingine uki post jaribu kutaja majina yao maarufu ili kila mtu umu jukwaan apate kufaham unazungumzia watu gan, sasa uyo Ommy nyemo wala Ali salahe sisi hatuwajui ao ila Nassibu Abdul tunajua kuwa ni platnumz! au hao wengine ni wawakilishi wa you tube east africa?
Si kila habari humfaa kila mtu.
 
kwahiyo mlitegemea huyo mwakilishi angekubali kuwa kwel views zinanunuliwa ht km ni kweli?!
 
hahaa sasa unamuuliza mtuhumiwa unahisi atakiri kosa? mleta uzi jiongeze bhana
 
Kwani O. Dimpoz wakati anasema hivyo alitaja jina la Diamond?
Hajamtaja Diamond,ila ajabu Diamond mwenyewe pamoja na team yake wote wametokwa mapovu. Sijawahi kuona Diamond akitokwa mapovu kiasi kile.
 
Yaani watu walitegemea hao YouTube wakubali kweli kuna hiyo biashara.
 
'Kama akinunua view wanamfungia akaunt yake' hapo si tayari kumbe uwezekano upo.. na kama upo huyo anaefunga akipewa hela atafungaje na wakati na yeye ana mgawo wa hizo hela?
 
Back
Top Bottom