Kiparamoto
Senior Member
- Oct 1, 2015
- 100
- 100
Huyu mange amejua kuwashika akili vijana wakitanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hapingwi! Unasema ukimpinga tu anakublock? Huyu ndiye tunamshangilia kwamba ni mwanademokrasia kumbe hataki kupingwaMange ukipinganenae kule instar ana kublock hataki umpinge,hivyo hata kama amendika kitu na unaona una mawazo tofauti unatakiwa ujizuie kutoa hayo mawazo kama hutaki akublock.
Sijajua kwanini nae anashindwa kuvumilia kupingwa!!
Kumbe hapingwi! Unasema ukimpinga tu anakublock? Huyu ndiye tunamshangilia kwamba ni mwanademokrasia kumbe hataki kupingwa
ngoja tuamini post zenu wana ccm maana mnaaminika sana.Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...
Chadema Kama chanjo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
Unalaumu watu bure..Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.
Mkuu how sure are you ?Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.
She is a whistle blower and they are all over the World..Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.
hivi unaamini kabisa polisi ya tanzania wanafanya upelelezi?Hofu yangu wasije wakamtumia Uwongo ili kuvuruga upelelezi na kufanya Misinformation ili kuwaaminisha watu kitu tofauti na Uhalisia!!.
Kama anatoa facts it's okay kwani Si Kuna wabunge wanavuta bangi ,walevi lakini wanawasilisha hoja nzuri tu.Its doesn't matter whether anauza nyapu au la,kwake ni facts tu.Eti anauza nyapi wewe ndo dalali wake?
ungedharau ungepita kimya. imekugusa hiyo vumilia tuNikaonaga hivi basi nawadharau sana vijana wa Chadema
Itakuwa amepewa nyeti azirushe. Si unajuwa humu zinafutwa?Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...
Chadema Kama chanjo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
chadema imepoteana wapi?Ujinga ni kuamini kila kitu anachopost Mange...
Chadema Kama chanjo chenu cha kuaminika ni Mange mtazidi kupoteana siku hadi siku.
aliwahi kukuuzia?Ni aibu kijana wa kitanzania kushikwa akili na Mtu anayefanya biashara ya ngono marekani.