Sakata la Lugumi: Waziri Kitwanga kusababisha kuibuka kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu?

Sakata la Lugumi: Waziri Kitwanga kusababisha kuibuka kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu?

Nashangaa mtu ambaye kampuni yake inatakiwa kufanya kazi na jeshi la polisi ndo anakuwa waziri mwenye dhamana na chombo hicho cha dola! Hapa kuna conflict of interests kubwa!

Tutajuaje sisi je akitumia cheo chake kukwamisha uchunguzi?

Je akitumia cheo chake kutowachukulia hatua walioshindwa kutekeleza mkataba kwa kuwa naye ni mnufaika kupitia kampuni yake?
Africa utamaduni wa kujiuzulu unatokea mara chache sana
 
pigeni kura ya kutokuwa na imani bunge livunjwe turudie uchaguzi upya shenzi nyie, kitwanga wapotezee tu hawana maana, hela ale Lugumya eti afukuzwe kitwanga mambo ya kijinga kabisa. Nawaambia uchaguzi ukirudiwa sasa hivi atarudi bungeni mbowe peke yake.
Nani kakudanganya?
 
pigeni kura ya kutokuwa na imani bunge livunjwe turudie uchaguzi upya shenzi nyie, kitwanga wapotezee tu hawana maana, hela ale Lugumya eti afukuzwe kitwanga mambo ya kijinga kabisa. Nawaambia uchaguzi ukirudiwa sasa hivi atarudi bungeni mbowe peke yake.
Mkuu ungenawa uso kwanza, piga mswaki, then upate kifungua kinywa ndio uje kuchangia.....huu utaratibu wa kuchangia hoja huku uso umejaa tongotongo na tumbo halina kitu una madhara makubwa sana
 
Hamna namna,atumbuliwe tu na yeye,alikuwa anaona raha kutumbua wenzake bila hata kuwapa muda wa kujitetea
 
Na mimi ninasema watumbuliwe tu, tumeshachoka na hawa mafisadi wa ccm watumbuliwe tu maana hakuna namna.
 
Naamini kuna wabunge wataibua hoja ya kumtaka waziri huyu ajiuzulu na akigoma hoja hiyo itaelekezwa kwa boss wake(waziri mkuu) maana wabunge hawana mamlaka ya moja kwa moja ya kumwajibisha waziri bali wana mamlaka ya kumwajibisha waziri mkuu kwa kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae.

Namshauri waziri huyu asome alama za nyakati na afanye uamuzi sahihi badala ya kusubiri shinikizo la Bunge kwani kutajwa tu ni sababu tosha ya yeye kutakiwa kujiuzulu.

Bunge linaanza wiki ijayo hivyo tusubiri kuona nini kitatokea maana mpaka sasa kuna wabunge ambao teyari wameshajeruhiwa na wengine wako mbioni sasa sidhani kama nao watakuwa na salia mtume katika hili.
Mkuu hivi una utindio wa ubongo??? aaaa Msigwa kaisha sema mnahitaji mental diagonosis, hivi ukawa ambao sasa hivi mmegeuka kuwa watetezi wa mafisadi na mashoga mko wangapi bungeni hadi muwe na power ya kumuangusha waziri mkuu???? hizi bhangi zako nafikiri ungezipeleka mtaa unaoitwa ufipa.Yaani vijana wa ukawa mmegeuka waganga wa kyenyeji siku magufuli alivyokuwa anajiandaa kuhutubia bunge mliapa kumzuia lakini mkashindwa,kitambo kidogo tbc ikaacha kuonyesha matangazo ya moja kwa moja bungeni mkaapa bunge kutoendelea na vikao vyake ...matokeo yake bunge likaendelea...leo wewe shoga la mafisda ooo sory kibaraka wa mafisadi unakuja kutuletea ngonjera zako humu ndani zisizo na kichwa wa miguu nyambafu.
 
Back
Top Bottom