Tetesi: Sakata la magari 53 yaliyokutwa bandarini: Magari hayo ni ya EDIGALAN MASAKO

Siamini katika kauli ya 'wasiojulikana'. Ninaamini wanajulikana ila mbele yetu wanatuambia hawajulikani
 
Kila taasisi ni hofu tele zimejaa

Watu hawajiamini tena nakumbuka enzi za John Mhavile (R.I.P.)..

Leo wameibuka wengine na zama zao ....

Ata Mkutano ukiwa Magogoni huoni wa kumuuliza Mkuu maswali...

Wanahabari nao wamejawa na hofu..

Magazeti yanafungiwa kwa kuwa na habari za mlengo flani...
 
Unaandika kama unakatika mauno kitu akieleweki wala akivutii msomaji azidi kusoma upuuzii mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…