Tetesi: Sakata la magari 53 yaliyokutwa bandarini: Magari hayo ni ya EDIGALAN MASAKO

Tetesi: Sakata la magari 53 yaliyokutwa bandarini: Magari hayo ni ya EDIGALAN MASAKO

kama watu kama nyie mnajua fact na hamsemi acha tudanganywe na mkulu wenu na tujifurahishe na kina bashite
 
Masako wa ITV aisee kumbe yule mzee alikuwa Mpiga dili
Hizi while za Kata zimeleta majanga kwa wengi kama wewe. Kichwa cha habari hujui kusoma hata kuelewa unakimbilia habari yenyewe ambayo bado hujaielewa. Loh!!
Shida ni mazoea ya kusoma vile viujumbe vifupi fupi. Maelezo mengi kama haya hamuelewi.


Ila inawezekana, ukikua huenda ukaaacha.
 
Kwani
Hakunaga kitu cha 'mtu asiyejulikana" yale magari hadi yanafika bandarini lazima yalikuwa yameandikwa mmiliki ni nani..basi tu ameamua kuficha.
Kwani vile vichwa vya treni vilipata wenyewe mwisho itakuja meli isiyokua na mwenyewe pia
 
Huwezi itenganisha CCM na Ufisadi! Hata Huyu Sizonje ndiyo atakuwa Worse than wote waliyopita. Time will tell, tusibiri!
 
NIMECHEKA SANA JANA, KAMANDA SIRRO ANAULIZWA HAYA MAGARI NI YA KWAKO ANASITASITA , HIVI POLISI WANAWEZA KUTUMIA VILE VIBAJAJI ? 😱😱😱😱😱
 
Sishangai kuona mihemko ya kufikirika katk nchi ya kufikirika izi ni kiki za pikipiki za bwana bodaboda wa kijiwe hiki ( asante tz labda ndivyo ulivyoumbwa)
 
Unaogopa mawakala wa izilaeli?
Utakuja lini tz kutembea
Nimekuwa nasema kila siku hapa kwamba mali nyingi zinazopita ufukweni pale hazilipi kifuta jasho kama inavyopaswa,

Magari hayo ya Bwana Edigaran Masako wa ofisi ya makusanyo kifuta Jasho (OMKJ) samora , anajulikana hivyo kwasababu kashastaafu kitambo lakini, kuna na mashine nyingi zimepita maeneo yale kwa kukikwepa kifuta jasho,

Nimefanya kazi Ufukweni hapo kabla sijaipa kisogo Tanzania tokea mwaka 2003 hadi 2011 msisumbuke sana , yote hiyo mnaangaika kisa mmeimaliza meno jamii forums na kupandikiza mange vimambi wengi , Huwez amini kina mzee wa kudadavua, mchambuzi, BAK au bakili muluzi siku hizi ni kama wamebanwa hawana cha kusema kwa sababu ya uoga , Hayo ndo mambo ambayo Jf ilipaswa kuweka wazi, Muda huu mada ni nani anapaswa kutangulia kufika kati ya mama Samia au Makonda, mada ni flash ya gwajima anayo makonda , hatuwezi kufika kwa fikra za namna hii

Usiku mwema unajua Vodka ya Urusi imefanya nitoboe siri hii weekend hii inaleta mzuka

Britanicca
 
Back
Top Bottom