Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi while za Kata zimeleta majanga kwa wengi kama wewe. Kichwa cha habari hujui kusoma hata kuelewa unakimbilia habari yenyewe ambayo bado hujaielewa. Loh!!Masako wa ITV aisee kumbe yule mzee alikuwa Mpiga dili
Kwani vile vichwa vya treni vilipata wenyewe mwisho itakuja meli isiyokua na mwenyewe piaHakunaga kitu cha 'mtu asiyejulikana" yale magari hadi yanafika bandarini lazima yalikuwa yameandikwa mmiliki ni nani..basi tu ameamua kuficha.
mkuu nakili ukiona lisu kakaa kimya, Mnyika hasikiki, Lema ndo usiseme itakuwa mimi, haaa sitaki kuwajaribu watu
Tiririka kama unamjua mkuuMuache mzee wa watu apumzike na sasa anafanya kilimo
Mzee Masako lol
Utakuja lini tz kutembeaUnaogopa mawakala wa izilaeli?
Nimekuwa nasema kila siku hapa kwamba mali nyingi zinazopita ufukweni pale hazilipi kifuta jasho kama inavyopaswa,
Magari hayo ya Bwana Edigaran Masako wa ofisi ya makusanyo kifuta Jasho (OMKJ) samora , anajulikana hivyo kwasababu kashastaafu kitambo lakini, kuna na mashine nyingi zimepita maeneo yale kwa kukikwepa kifuta jasho,
Nimefanya kazi Ufukweni hapo kabla sijaipa kisogo Tanzania tokea mwaka 2003 hadi 2011 msisumbuke sana , yote hiyo mnaangaika kisa mmeimaliza meno jamii forums na kupandikiza mange vimambi wengi , Huwez amini kina mzee wa kudadavua, mchambuzi, BAK au bakili muluzi siku hizi ni kama wamebanwa hawana cha kusema kwa sababu ya uoga , Hayo ndo mambo ambayo Jf ilipaswa kuweka wazi, Muda huu mada ni nani anapaswa kutangulia kufika kati ya mama Samia au Makonda, mada ni flash ya gwajima anayo makonda , hatuwezi kufika kwa fikra za namna hii
Usiku mwema unajua Vodka ya Urusi imefanya nitoboe siri hii weekend hii inaleta mzuka
Britanicca
Mzee wa ofisi ya manunuzi na makusanyo OMKJ humjui ww?Tiririka kama unamjua mkuu
Mpaka document zingekuwa zimeskaniwa na kutupiwa humu !Umenikumbusha enzi za Jamboforums..
Enzi za watu kumwagika bila breki..
Da Mange !uko kuna warembo tu na IQ yao ndogo sana wao rais wao wa insta nadhani unamjua
Alishindwaje kuondoa kabla ya yeye kuondoka !? Acheni ujinga banaa !Ana immunity for life
Acheni ujinga, atakuwa alishindwaje kutoa kabla yeye hajatoka !ni vigumu sana kumtenganisha kikwete na uozo huu
Ndo ina nini !? ....ni robot kuwa rasimu itafanya kazi kwa niaba ?Ndiyo maana hawaitaki rasimu ya Warioba.
Ni waoga kupindukia, hawatufai tena.siku hizi watu wanaogopa mods ukianzisha uzi wanaogopa sana wanautoa
Kama drama ya mwenyekiti na Wema !Hizo habari za magari ni drama tu, nchi ovyo kabisa hii!