Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,812
mh tunapenda kuish bwana mkubwa bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko kuna warembo tu na IQ yao ndogo sana wao rais wao wa insta nadhani unamjua
HAKUNA KUMUACHA WATU WATAONA NJIA NI MKUSAMEHEWA TUMuache mzee wa watu apumzike na sasa anafanya kilimo
Mzee Masako lol
Ukiwa unaoga mwizi akachukua Nguo zako huwezi kumkimbiza UCHI mana utaonekana HAMNAZOHAKUNA KUMUACHA WATU WATAONA NJIA NI MKUSAMEHEWA TU
Hatuwezi kuwa wote na IQ sawa wengine tupo ku intertainuko kuna warembo tu na IQ yao ndogo sana wao rais wao wa insta nadhani unamjua
kumbe wengine kwa kihaya wanasema MBASHEZA EMBABULE entertainers hahahaHat uwezo kuwa wote na IQ sawa wengine tupo ku intertain
Kabisa mkuu wote tukiwa ma professor nani atahudumu bar?kumbe wengine kwa kihaya wanasema MBASHEZA EMBABULE entertainers hahaha
lakini bar zinahitaji wasomi pia hata kama si kiwango cha kina lipumba, ila hata hao wa bar si ndo wakiwapeleka maprofesor chobisi wanawapa mambo mpaka wanasahau vyuo na kozi walizosoma , wana uphd wa maisha halisiKabisa mkuu wote tukiwa ma professor nani atahudumu bar?
Si ndiyo sisi intertainers tunazaliwa na Sanaa za asili.lakini bar zinahitaji wasomi pia hata kama si kiwango cha kina lipumba, ila hata hao wa bar si ndo wakiwapeleka maprofesor chobisi wanawapa mambo mpaka wanasahau vyuo na kozi walizosoma , wana uphd wa maisha halisi
hahahaSi ndiyo sisi intertainers tunazaliwa na Sanaa za asili.
Huyo anakushauri mambo yenye hadhi yake. Mpuuze.uko kuna warembo tu na IQ yao ndogo sana wao rais wao wa insta nadhani unamjua
Rais wao ni Mange Kimavuko kuna warembo tu na IQ yao ndogo sana wao rais wao wa insta nadhani unamjua
Nimeipenda hii, sanaa za asiliSi ndiyo sisi intertainers tunazaliwa na Sanaa za asili.
Ana immunity for lifeni vigumu sana kumtenganisha kikwete na uozo huu
huu ni upuuzi wa serikali ya chama cha mapinduzi na uozo wao woteAna immunity for life
Ndiyo maana hawaitaki rasimu ya Warioba.huu ni upuuzi wa serikali ya chama cha mapinduzi na uozo wao wote
Mkuu naungana nawe. Uzi wowote ukiudadavua ili watu wausome na wafuatilie ukweli jamaa hawachelewi kuuunganisha ama kuufuta. Hapa jf tushavamiwa jukwaa linapotea njia taratibu.Nimekuwa nasema kila siku hapa kwamba mali nyingi zinazopita ufukweni pale hazilipi kifuta jasho kama inavyopaswa,
Magari hayo ya Bwana Edigaran Masako wa ofisi ya makusanyo kifuta Jasho (OMKJ) samora , anajulikana hivyo kwasababu kashastaafu kitambo lakini, kuna na mashine nyingi zimepita maeneo yale kwa kukikwepa kifuta jasho,
Nimefanya kazi Ufukweni hapo kabla sijaipa kisogo Tanzania tokea mwaka 2003 hadi 2011 msisumbuke sana , yote hiyo mnaangaika kisa mmeimaliza meno jamii forums na kupandikiza mange vimambi wengi , Huwez amini kina mzee wa kudadavua, mchambuzi, BAK au bakili muluzi siku hizi ni kama wamebanwa hawana cha kusema kwa sababu ya uoga , Hayo ndo mambo ambayo Jf ilipaswa kuweka wazi, Muda huu mada ni nani anapaswa kutangulia kufika kati ya mama Samia au Makonda, mada ni flash ya gwajima anayo makonda , hatuwezi kufika kwa fikra za namna hii
Usiku mwema unajua Vodka ya Urusi imefanya nitoboe siri hii weekend hii inaleta mzuka
Britanicca
NB MODS HAWATACHELEWA KUONDOA UZI HUU, AU KUUNGANISHA BILA KUJUA KWAMBA HUU HAUFANANI NA UZI WOWOTE BADALA YA KUUACHA ULETE CLEAR PICTURE UOGA NI JAMBO BAYA SANA