Sakata la Manara limewavua nguo TFF

labda ananizidi kukosa melanin kwenye ngozi na meno ya njano kama jezi za yanga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa mbavu cnaaa, ila nyie watu khaaaah.
 
Hujaeleza namna nguo zilivyovuliwa
 
Huu msukele ndiyo umejivua nguo. Ni hatari kuendekeza uhuni kama huu kwenye mpira wetu. TFF fungieni hii takataka maisha
 

Attachments

  • Screenshot_20220725-162904.png
    259 KB · Views: 4
Manara amesema wanayanga wana vinyesi manara tupe raha maana ametupa jina lingine vinyesi Fc πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…