Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,385
As long as they don't print money then wingi wa shilingi ni ule ule. Labda mgawanyiko wake utabadilika. Zikiwa mtaani ziko less likely kutumiwa kununua forex kuliko zikiwa kwa wachache. Hao wachache huwa wanahamishia kwenye akaunti zao nje.Kitakachoshusha thamani ya shilingi siyo hiyo miradi bali wingi wa shilingi zatakazokuwa kwenye mzunguko bila kuwa proportional na mwenendo wa uchumi. Wabunge akishaanza kujipangia kuwa wapewe pesa nyingi, viongozi wa serikali nao wakaanza hizo zinazoitwa semina endekezi zenye per diem kubwa kubwa ambazo zinaishia kwenye mzunguko, ndipo hapo thamani ya shilingi itakapoanza kuporomoka.