Sakata la maslahi ya Wabunge na hekaya ya Hilda Newton

As long as they don't print money then wingi wa shilingi ni ule ule. Labda mgawanyiko wake utabadilika. Zikiwa mtaani ziko less likely kutumiwa kununua forex kuliko zikiwa kwa wachache. Hao wachache huwa wanahamishia kwenye akaunti zao nje.
 
Niko na mixed feelings for both of you, the policies are still blurred to surfice predictability
 
Mitano tena kwa wabunge wa ccm...wakumbuke hawakufuatwa wagombee waliomba wenyewe kama haitoshi wapishe wasiombe tena
 
Kipindi cha JK ndio kipindi tulichokuwa tunashuhudia unga ukifika hadi 2,500 kwa kilo na mchele 3,500 kwa kilo.

Je kwa Magu uliwahi kuona hali kama hiyo zaidi ya sukari?
 
Wangetafuta namna ya kuwadhibiti hawa waropokaji.

Hii ni namna nyingine ya kusema hawamuogopi aliyepo madarakani....maana sidhani kama angethubutu kuropoka hivi mbele ya Magufuli.
 
Kipindi cha JK ndio kipindi tulichokuwa tunashuhudia unga ukifika hadi 2,500 kwa kilo na mchele 3,500 kwa kilo.

Je kwa Magu uliwahi kuona hali kama hiyo zaidi ya sukari?
Kipindi cha Magufuli nyama ilifikia kilo moja elfu kumi. Sukari ikapanda.

Huwezi ficha madhaifu kwa kutafuta madhaifu ya mtu mwingine. Atakuja mtu hapa atahama mada ya vyakula na kuanza kuongelea deni la taifa.

Kila uongozi una madhaifu. Ni kuyatafuta tu.
 
Yani unaongelea nyama kufika elfu 10 tena msimu wa sikukuu?

Ongelea kupanda kwa unga na mchele hapo hata bibi yako kule kijijini lazima akione cha moto
 
Yani unaongelea nyama kufika elfu 10 tena msimu wa sikukuu?

Ongelea kupanda kwa unga na mchele hapo hata bibi yako kule kijijini lazima akione cha moto
Bibi yangu tena?
 
Kipindi cha JK ndio kipindi tulichokuwa tunashuhudia unga ukifika hadi 2,500 kwa kilo na mchele 3,500 kwa kilo.

Je kwa Magu uliwahi kuona hali kama hiyo zaidi ya sukari?
Acha uongo wewe dada, kikwete Hadi anaondoka madarakani 2015, bei ya unga wa sembe kwa Kg ilikuwa 600/=✓
sukari kg ilikuwa Tsh. 1000-1200/=
mchele kg ilikuwa haizidi TSH 1000,

Alivyoingia dikteta ndio kila kitu kikawa juu, sukari ilifika bei hadi elf tano, unga pia ,mchele alkadhalika,
Mwendazake Hana la kukumbukwa kweny utawala wake, labda kutekwa watu, kupigwa risasi 38 Lissu Kama wanaua tembo, kuminya uhuru wa habar na kupashana habari, etc
 
Tunaohoji hadi Kuwashangaa Wabunge kudai nyongeza ya Mshahara tumeshajiuliza Swali ni lini Mshahara umewahi Kumtosha Mwanadamu?...
Wapunguze kujali matumbo yao na wachangie kodi kabla ya kudai kuongezwa mshahara.Hiyo misaada wanayotoa mfano mbunge mmoja wa ifakara aliwahi kutoa mbuzi wawili na kreti kumi za soda kwenye shule moja ya sekondari.
 
Acha uongo wewe dada, kikwete Hadi anaondoka madarakani 2015, bei ya unga wa sembe kwa Kg ilikuwa 600/=✓
sukari kg ilikuwa Tsh. 1000-1200/
Nani dada sasa!

Usiwe jinga!

Ni katika kipindi cha JK pekee bidhaa muhimu kama unga uliwahi kufika 2,500 na mchele 3,500

Magu kakuta unga unauzwa kati ya 1000 na 1200, nyuzi zake ziko humu!

Hiyo bei yako ya 600 ni ya wakati JK anachukua madaraka!
 
Izo bei labda zilikuwa kwenu Rwanda, me nna duka la vyakula nnachokuambia nna ushaidi nacho kijana
Wewe una shida sana!

Muulize huyo shemeji yako ambae ndio huwa ananunua bidhaa wewe kazi yako ni kula tu huwezi kujua.
 

Kama mshahara uliokuwa haiwatoshi kwanini walipora uchaguzi ili wawe wabunge? Na kipi kinachowafanya waendelee kubaki kwenye ubunge walioupata kwa wizi ,wakati hata mshahara hautoshi? Inawezekana kweli mshahara ni mdogo, lakini huo mshahara mdogo ndio uhalisia wa umasikini wa nchi yetu.
 
Wangetafuta namna ya kuwadhibiti hawa waropokaji.

Hii ni namna nyingine ya kusema hawamuogopi aliyepo madarakani....maana sidhani kama angethubutu kuropoka hivi mbele ya Magufuli.
Naona unaturopokea. Kwenye kutetea haki ni lazima kusema bila woga. Ni freedom of speech.

Bootlicking is a vicious vice. Nyerere angekuwa anawaza kwamba kuwakosoa viongozi ni kosa kama unavyodhani wewe tungechelewa kupata uhuru.
 

Nikikumbuka kina Silinde na Lijualikali walivyo kuwa wanalialia, sasa mtu umelipwa 10 million per month for 5 years plus 250 million mafao
 
Tusimbeze Huyo mbunge aliyetoa maoni yake tukahisi ni yeye tu kajifikiria kichwani akaja na maoni ya kuongezwa mshahara, huenda ni agenda ya wengi lakini imeletwa na Nicodemas kama kupima upepo hivi ili baadae waikomalie kwa pamoja ipitishwe na mishahara kuongezwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…