Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,385
As long as they don't print money then wingi wa shilingi ni ule ule. Labda mgawanyiko wake utabadilika. Zikiwa mtaani ziko less likely kutumiwa kununua forex kuliko zikiwa kwa wachache. Hao wachache huwa wanahamishia kwenye akaunti zao nje.Kitakachoshusha thamani ya shilingi siyo hiyo miradi bali wingi wa shilingi zatakazokuwa kwenye mzunguko bila kuwa proportional na mwenendo wa uchumi. Wabunge akishaanza kujipangia kuwa wapewe pesa nyingi, viongozi wa serikali nao wakaanza hizo zinazoitwa semina endekezi zenye per diem kubwa kubwa ambazo zinaishia kwenye mzunguko, ndipo hapo thamani ya shilingi itakapoanza kuporomoka.
Niko na mixed feelings for both of you, the policies are still blurred to surfice predictabilityMheshimiwa Kichuguu,
Nafahamu wewe ni mtu mwenye michango mizuri sana huku kwa siku nyingi. I have nothing but respect for you. Ila hili la shilingi kushuka kwa kasi sasa nadhani umekosea. Ni sahihi kwamba miradi ya SGR, madaraja, ujenzi wa meli na kadhalika itachukua forex nyingi, lakini miradi ya LNG na bomba la mafuta italeta nchini forex nyingi pia. Miaka michache ijayo shilingi itapanda, na sio kushuka. Wekeza tu dola zako Bongo sasa. I am in the same boat.
Kipindi cha JK ndio kipindi tulichokuwa tunashuhudia unga ukifika hadi 2,500 kwa kilo na mchele 3,500 kwa kilo.Point yangu ni kuwa kupitia tight monetary policy hali ya kuwa na circulation kubwa haitakuwepo. Mi muda mrefu watumishi wa serikali hawajaongezwa mishahara lakini bei za bidhaa zimekuwa zinapanda. Watu wakipewa imcrements zao sidhani kama circulation ya pesa itakuwa kubwa. Tukumbuke kipindi cha Raisi Mwinyi, Mkapa na Kikwete...
Kipindi cha Magufuli nyama ilifikia kilo moja elfu kumi. Sukari ikapanda.Kipindi cha JK ndio kipindi tulichokuwa tunashuhudia unga ukifika hadi 2,500 kwa kilo na mchele 3,500 kwa kilo.
Je kwa Magu uliwahi kuona hali kama hiyo zaidi ya sukari?
Yani unaongelea nyama kufika elfu 10 tena msimu wa sikukuu?Kipindi cha Magufuli nyama ilifikia kilo moja elfu kumi. Sukari ikapanda.
Huwezi ficha madhaifu kwa kutafuta madhaifu ya mtu mwingine. Atakuja mtu hapa atahama mada ya vyakula na kuanza kuongelea deni la taifa.
Kila uongozi una madhaifu. Ni kuyatafuta tu.
Bibi yangu tena?Yani unaongelea nyama kufika elfu 10 tena msimu wa sikukuu?
Ongelea kupanda kwa unga na mchele hapo hata bibi yako kule kijijini lazima akione cha moto
NdioBibi yangu tena?
Acha uongo wewe dada, kikwete Hadi anaondoka madarakani 2015, bei ya unga wa sembe kwa Kg ilikuwa 600/=✓Kipindi cha JK ndio kipindi tulichokuwa tunashuhudia unga ukifika hadi 2,500 kwa kilo na mchele 3,500 kwa kilo.
Je kwa Magu uliwahi kuona hali kama hiyo zaidi ya sukari?
Haya sawaNdio
Wapunguze kujali matumbo yao na wachangie kodi kabla ya kudai kuongezwa mshahara.Hiyo misaada wanayotoa mfano mbunge mmoja wa ifakara aliwahi kutoa mbuzi wawili na kreti kumi za soda kwenye shule moja ya sekondari.Tunaohoji hadi Kuwashangaa Wabunge kudai nyongeza ya Mshahara tumeshajiuliza Swali ni lini Mshahara umewahi Kumtosha Mwanadamu?...
Nani dada sasa!Acha uongo wewe dada, kikwete Hadi anaondoka madarakani 2015, bei ya unga wa sembe kwa Kg ilikuwa 600/=✓
sukari kg ilikuwa Tsh. 1000-1200/
Izo bei labda zilikuwa kwenu Rwanda, me nna duka la vyakula nnachokuambia nna ushaidi nacho kijanaNani dada sasa!
Usiwe jinga!...
Wewe una shida sana!Izo bei labda zilikuwa kwenu Rwanda, me nna duka la vyakula nnachokuambia nna ushaidi nacho kijana
Tunaohoji hadi Kuwashangaa Wabunge kudai nyongeza ya Mshahara tumeshajiuliza Swali ni lini Mshahara umewahi Kumtosha Mwanadamu?
Kuna Shirika moja la Ndege ( hapa hapa EAC Kwetu ) Marubani wake kila Mwezi wanalipwa USD 8000 ( Hela ambayo ukiichenji kwa Shilingi yetu inazidi hata ya Wabunge ) huku Posho zao kila wakiruka ( wakipaa ) ni USD 200 lakini bado walitishia Kugoma ili waongezewe.
Huko nyuma nami GENTAMYCINE nilikuwa ni Muumini wa 'Kukurupuka Kudemka' hasa Kushangaa Wabunge wakitaka Kuongezeka Mishahara yao ili nilivyokaa Siku moja na Mbunge fulani na akanichambulia jinsi Pesa zao zinavyotumika na kuishia kwa Kuwasaidia Wananchi ambao 24/7 huwapelekea Shida zao mbalimbali kiukweli wakidai hiyo nyongeza ni halali ( haki ) yao.
Tatizo Kubwa nililoligundua humu Mtandaoni ( Mitandaoni ) ni kwamba kumekuwa na 'Kautamaduni' ambako naona kana Ushamba na Upumbavu mwingi ambapo Watu tumekuwa 'tunahemka' kwa Hisia zetu tu za Itikadi ya Vyama vyetu vya Kisiasa pamoja na Chuki kwa Bunge lenye Wabunge wengi wa CCM na Serikali yake pia ila hatutaki Kujishughulisha kutumia Akili zaidi ya Kutafakari na Kuchambua jambo.
Nimalizie tu kwa Kuwauliza je, nyie mnaopinga Wabunge Kuongezewa Mshahara au hata Watu wa Kada zingine Kupandishiwa Mishahara nyie mngekuwa ndiyo Wabunge au Watu hao mngekuja humu Mitandaoni na Kukataa kuwa isipandishwe?
Ifike muda tupunguze Nongwa na Wivu.
Naona unaturopokea. Kwenye kutetea haki ni lazima kusema bila woga. Ni freedom of speech.Wangetafuta namna ya kuwadhibiti hawa waropokaji.
Hii ni namna nyingine ya kusema hawamuogopi aliyepo madarakani....maana sidhani kama angethubutu kuropoka hivi mbele ya Magufuli.
Wamajiwekea 3.8M kwenye salary slip ili kukwepa makato ya kodi.
Kwenye hiyo 3.8M wamejiwekea miposho posho na allowance kibao isiyo na makato yoyote mpaka kitu inaenda mpaka 12M kwa mwezi.
Kubwa kuliko yote ni wao kupewa mafao ya zaidi ya Tsh 250M ndani ya miaka 5 tu bila yao kuchangia chochote kwenye mfkina Silinde na Lijualikali walivyo kuwa
Nikikumbuka kina Silinde na Lijualikali walivyo kuwa wanalialia, sasa mtu umelipwa 10 million per month for 5 years plus 250 million mafaoWamajiwekea 3.8M kwenye salary slip ili kukwepa makato ya kodi.
Kwenye hiyo 3.8M wamejiwekea miposho posho na allowance kibao isiyo na makato yoyote mpaka kitu inaenda mpaka 12M kwa mwezi.
Kubwa kuliko yote ni wao kupewa mafao ya zaidi ya Tsh 250M ndani ya miaka 5 tu bila yao kuchangia chochote kwenye mfuko.