Elections 2010 Sakata la mauaji ya Dereva wa CCM Maswa na hatima ya Shibuda

Tutaona mengi. Hii inathibitisha kuwa mtawala kazidiwa. Go chadema Go!
 
Mama yangu wee! tunakoelekea si kwema. Hali inatisha sana. Sikiliza thithiem watakavyotumia tukio hili kutaka kuilaumu chadema kwa umwagaji wa damu wakati wa kulaumiwa ni wao wenyewe.
 
Asante Pasco kwa Taarifa, nataka Kujua ni Kwa nini Shibuda amekuwa arredted?
 
Mashabiki wana matatizo sana! Hii yote ni ushabiki na ukweli ni kwamba ushabiki una madhara yake. Ni juzi tu kati ya mechi ya Simba na Yanga, wana Simba na baadhi ya viongozi wao walipokea kichapo kutka kwa mashabiki wa Yanga. Kama wewe ni shabiki wa Simba usiende kukaa jukwaa la Yanga wakati mtinange ni wa Simba na Yanga. Sasa hao waliowakuta wengine, kama hiyo version ya story ni kweli wameshuka kufanya nini kama si uchokozi? Lakini kwa vyovyote vile vita si vizuri na lazima vikemewe!
Ushabiki ni mbaya pia wiki iliyopita mnakumbuka yaliyotokea Italia na ile timu nyingine mashabiki yalipoyapa kipigo polisi.....
 

provocation if well pleaded, and in suitable circumstances is a good defence
 



Agreed!!! This is TRASH in CAP!
 
Afadhali hiyo kura moja ya ccm imepungua. Mungu hamtupi mja wake
 
tutaona mengi. Hii inathibitisha kuwa mtawala kazidiwa. Go chadema go!

you just think! Magari yalikutana, chadema wakasimama kuchimba dawa, sisiem wao hapohapo maeneo hayohayo na wakati huohuo kofia ikadondoka. Mara akashuka bila woga kuelekea sehemu waliko washabiki wa chadema ili aiokote. Ninadhani kuna utata kama hiyo kofia haikudondoshwa makusudi au la, na kama haikudondoshwa makusudi, je wale wa chadema waliokuwa wanachimba dawa wakiona counterpart ana advance kuelekea wao na gali lao lilipo katika mazingira ya kawaida hawakuhisi wanavamiwa? Au kuna jambo linalohitaji wajihami. Tukubali kutokubali kuwa kama storia ndio hiyo, je chadema walijua kuwa kofia ilikuwa imedondoka na hivyo ccm member alikuwa anaifuata. Kama hawakujua, then they were right to do wahat they thought by doing so they were defending. Hence self defence.
 
Kwa nini maeneo ambayo CCM inaonyesha kupoteza ushindi ndiyo yenye vurugu? mbona hatusikii Monduli,Igunga,Urambo na kwingineko ambako CCM inamatumaini ya kushinda? Kwa uwazi ni kuwa hawakubaliani na kushindwa ndio maana wana leta fujo.
 
ccm wamezidi ugomvi sasa wamepata joto ya jiwe, unyama na ushenzi wao utaiingiza nchi kwenye shimo, wao wanaona sifa.
ndo maana nasema ccm ni chama cha wafanya mizaha na waigizaji wa siasa, kifupi mkusanyiko wa watu wasio makini na waadilifu, ni kundi la mamluki na ving'ang'aniza vya madaraka.
 
Radhi siombi msimamo wangu ni huo aandike habari zake kwa umakini sio kwa ushabiki yeye ni mzoefu wa haswa televisheni anajua anachofanya


Ndo matatizo ya limbwata hayo!!! Huwezi hata .........
 
We have to pray for the Almighty God intervention..............atakayeiba kura shauri lake atawaambia nini watanzania?
 
Radhi siombi msimamo wangu ni huo aandike habari zake kwa umakini sio kwa ushabiki yeye ni mzoefu wa haswa televisheni anajua anachofanya
Hawa ccm ndio walivyo wanaposhindwa kwa hoja huwa wanakuwa na jazba na kuleta shari; damu ya watanzania wataimwaga wao na ili tufufuke ni lazima tufe na WATANZANIA tuko tayari!!
 
Du kwa kweli hali kama imefikia huko CCM wamezidiwa.
 


Wakuu zangu,

Hivi hapo kwenye blue and red bold, kuna ukweli wa habari hizi? Unajua this week nimesikia hizi pia!! Nikapuuzia ukizingatia source iliyotoa!!!

Hawa jamaa wanatutaka nini?
 
Wakuu zangu,

Hivi hapo kwenye blue and red bold, kuna ukweli wa habari hizi? Unajua this week nimesikia hizi pia!! Nikapuuzia ukizingatia source iliyotoa!!!

Hawa jamaa wanatutaka nini?

Kuna tetesi kuwa Tanzania ina uranium ... habari ndiyo hiyo
 
Mkuu Shy mbona unaenda resi hivyo?

Read between the lines mkuu.
 
natamani nijifunze karate niwe navaa pedo kudadadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…