Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
hana mpya huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaaaaaazi kweli kwelikikosi cha Mauaji cha CCM cha Green Guards................................... kifo cha mzembe huyu aliyeuwawa
Labda mwambie Makamba maana Kikwete ni ndondocha. Hajui lolote linaloendelea labda January amwambieKaaaaaazi kweli kweli
Amwambie nini tena mkuu, mbona unaonekana kama umepagawaLabda mwambie Makamba maana Kikwete ni ndondocha. Hajui lolote linaloendelea labda January amwambie
Radhi siombi msimamo wangu ni huo aandike habari zake kwa umakini sio kwa ushabiki yeye ni mzoefu wa haswa televisheni anajua anachofanya
Baada ya matishio ya kumwagika kwa damu Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, hatimaye jana damu imemwagika kweli huko Maswa ambapo dereva wa gari la mgombea wa CCM jimboni humo, ameuwawaw na wananchi wenye hasira.
Nimezungumza na Mgombea wa Chadema, John Magalle Shibuda, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, japo hakuthibisha maafa, bali ametoa upande wake wa story kuwa yeye akiwa Jukwani kwenye kampeni zake, akatuma gari lake la matangazo kutangulia kijiji kinachofuata.
Gari hilo likiwa njiani, lilivamiwa na gari la mgombea wa CCM wakitaka kuligonga ndipo likalikwepa na ikawa ndio salama yao, gari lile la mgombea wa CCM nalo likasisima, watu wakashuka na kuanza kuwashabulia hao kwenye gari la Chadema.
Kwa mujibu wa Shibuda, vijana wake wakapiga mayowe ya kuvamiwa, wanakijiji wakajitiokeza kuwasaidia ndipo waliotembeza hicho kichapo kwa dereva huyo.
Kwa vile Shibuda ni interested party, upande wake wa story lazima upatiwe balance ya upande wa pili wa CCM na hatimaye kuthibitishwa na authorities za Jeshi la polisi.
Naendelea kufuatilia upande wa pili na uthibitisho wa polisi, pia nafanya juhudi za kumtafuta mpiganaji Fredirick Katulanda ambaye siku zote husimama wima bila kuegemea upande wowote.
Update 1.
Nimefanikiwa kumpata mpiganaji Fredirick Katulanda, kwanza amenithibitishia ni kweli damu imemwagika kwa kifo kimetokea kweli.
Pia ni kweli John Shibuda, jana amelala mahabusu, leo ameachiliwa kwa dhamana ndogo na kurejea mikonani mwa polisi mpaka sasa.
Amenithibitishia kuwa polisi wamethibitisha tukio hilo.
Vesion ya CCM kwa mujibu wa Katulanda, gari la mgombea wa CCM na la Mgombea wa Chadema yalipishana, Gari Chadema wameshuka 'kuchimba dawa' gari la CCM wakajipitia zao (naasume walizomeana), baada ya kupita mtu mmoja kwenye gari ya CCM akadondosha kofia, hivyo gari la CCM likasimama mbele, aliyedondosha kofia akarudi nyuma kuifuata, ndipo wafuasi wa Chadema wakamdaka na kumtembezea kichapo, wenzao kuona hivyo wakarudi kumsaidia ndipo wakavamiwa na wafuasi wa Chadema na ndipo ikafuatiav piga nikupige iliyosababisho kifo cha dereva.
Katika hatua nyingine, Katulanda ameendelea kupasha kuwa Mgombea wa CCM kwa jimbo hilo, anatafutwa na polisi kwa kosa la kumshambulia OCD wa Maswa. RPC amesema tukio la kifo ni tukio jingine, na hilo la shumbulio kwa OCD ni tukio jingine na hayana uhusiano.
Bado nafuatilia taarifa rasmi toka kwa RPC Mwanza.
Update 2
Hili ni andiko la Katulanda kwa hisani ya wanabidii.
Jeshi la Polisi limemkamata mgombea wa Chadema John Shibuda kutokana
na afuasi wake kudaiwa kumpiga mpaka kufa dreva wa gari la mgombea wa
CCM Robert Simon Kisena wote wa jimbo la Maswa Magharibi.
Tunafualia zaidi kwani habari zineeleza kuwa mbali na shibuda watu
wengine 10 wanashikiliwa na polisi huku ikielezwa kuwa mgombea wa CCM
naye anasakwa na polisi kwa kumpiga OCD wa kituo cha Maswa akimtuhumu
kuwapendelea wapinzani ambao anadai kuwa wamemuua dreva wake.
Tunaendelea.
Shibuda still in police custody
By JULIUS BWAHAMA, *23rd October 2010 @ 12:10 , Total hits: 9
AS senior police officers were busy discussing a scuffle between followers of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and Chadema in Maswa, Shinyanga Region yesterday, Chadema followers are alleged to have assaulted CCM members in Ruvuma Region.
The scuffle in Maswa led to the death of one person. Reports from Maswa have it that senior police officers, led by the Director of Criminal Investigations (DCI), Mr Robert Manumba, yesterday held a lengthy meeting with regional police officers.
The meeting was also attended by Shinyanga Regional Police Commander, Mr Daudi Siasi. Chadema's Maswa West parliamentary candidate, Mr John Shibuda, and 12 other suspects were arrested following Thursday's fracas at his campaign rally, during which a man was killed.*
While the RPC said the opposition candidate and his supporters, who were arrested, were helping police with investigations, Mr Shibuda, an outgoing MP who defected from CCM before its nominations for the October 31 elections, cried foul, accusing the police of holding him illegally.*
Mr Shibuda, who had declared that he would challenge President Jakaya Kikwete under the CCM ticket shortly before he decamped to Chadema, said he had been informed that the police had received "instructions from above" not to release him.
Meanwhile, CCM supporter Hamisi Ndawala (52), was on Friday allegedly beaten up by Chadema supporters who stormed the party's offices at Kigulongi Mbolizagoni Branch in Ruvuma Region.
Speaking on the phone, Ruvuma RPC Michael Kamuhanda said that the incident took place at about 6:30 pm when Mr Ndawala returned from a campaign rally.
He said that the supporters of the opposition party stormed CCM's office tearing down posters of candidates and banners. During the riot they attacked Ndawala who was, fortunately, not seriously injured.
"They went to the office and started tearing down candidates' posters and banners and in the process they beat up Mr Ndawala," said the RPC.
The RPC added that no-one was arrested. Police investigation continues
Kwani sisi wageni nawewe? Tunakujua sana akili zako ndivyo zinavyo kutuma