Sakata la Mbasha mkubwa laanikwa

Sakata la Mbasha mkubwa laanikwa

Sasa wewe unawalaumu kuyapeleka masuala kwenye media, ukijifanya decent kumbe ni mnafiki. Kwa ajili ya nini sasa wewe unayaleta hapa? Unajaribu kuachieve nini katika hili kama siyo kuendeleza uozo uleule?

Unamtetea mbasha kwa kuwachafua watu wengine ili mjustify kitendo alichokifanya. Huwezi kujustify dhambi kwa dhambi ya mtu mwingine unless unaimani ya kuwafurahisha watu. Mtu yeyote mwenye imani ya kumpendeza Mungu, hata kama ni mdhaifu, siku zote ataweka kipimo chake na kujustify njia zake kwa kutumia Neno La Mungu. Kipimo cha utakatifu wake ni Kristo na si binadamu yeyote. Ondoeni upagani wenu kanisani na msiendelee kumdhalilisha Kristo kwa kulitukanisha jina lake makusudi ajili ya ujinga na kushindwa kwenu.

BTW, unawezaje kusema Mbasha hakubaka kwa sababu tu alitembea na yule mtoto mara kadhaa kabla hayajajulikana na watu. Hujui kwamba huyo ni binti wa miaka 17? Tafuta maarifa na uso wa Mungu kabla hujaleta Umbeya wa Kumdhalilisha Kristo hapa.

Nyongeza, huyo Mbasha na wewe, hamjui kwamba Flora alikaa London muda mrefu tu kabla hajaolewa na Mbasha? Inferiority complex na insecurities? Naomba uone aibu kwa majungu na umbeya wako. Kama unamtetea ama kumu accuse Flora ama Mbasha, nenda mahakamani ukatoe ushahidi. Hakuna mwenye ufahamu atakuwa na interest na mambo haya hapa. Hatutaki. Tuna mambo muhiimu na ya maana ya kujadili kuliko kutushirikishwa hila na madhambi yenu.
 
Hivi huu si ndo ule waraka wa mkuu The Bold au?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hata blogs maarufu walishaikopy hii habari
ya the bold tulioichangia hapa mimi nikimchoxhea aandike ukweli

Tyta
 
Last edited by a moderator:
hata blogs maarufu walishaikopy hii habari
ya the bold tulioichangia hapa mimi nikimchoxhea aandike ukweli

Tyta

Hahahaha nakumbuka wapenda umbea tulivyokesha siku ile kufatilia story hii... Na uliivalia njuga hii story khaa kama sikosei na wewe ulipata hadi PM za kutokueleweka concerning that issue

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Aaah hii mambo ya papuchi hii inazuaga vya kushanga mpaka unashindwa kushangaa.... Botha alitukana wa-b.lack kwa mifano hiihii... :sleepy: toka Ju.ne 03 ndio nilisomaga story hii.
 
Kweli mtu anapovutwa miguu na ibilisi haendi peke yake. Weye wadhani kuwa kumdhalilisha Mtumishi wa Mungu ili kuhalalisha uovu wako kutakusaidia?? Nakusihi ndg yangu. Kama una ushahidi mzuri tu wa Mtumishi yeyote anayeuza unga, ukiuandika humu JF ni kupoteza ushahidi. Unastahili kufuatiliwa na kufungwa. Usijiongezee balaa. Peleka ushahidi wako kwenye vyombo husika na kama unaona hawatamshika, nenda pamoja na Press na makamera makuubwa urekodiwe. Uma utakuwa nyuma yako wala si humu JF.
Kuhusu Mbasha, kama si roho ngumu, alitakiwa mapema sana amwangukie shem magotini. Amalizane naye kiume nje ya pilato. Nyiye msiompenda mnamdanganya hatafungwa. Nakwambieni, Segerea kunamhusu, mvua 30. Na dhambi ya kumnenea mabaya Gwajima inamngoja. Akitoka humo aje kumwomba tena radhi. Kama ni kuchapiwa anakolialia sasa ndo atachapiwa kweupeeee
Team gwajima..mambo!msalimieni wana media ministries
 
Kweli mtu anapovutwa miguu na ibilisi haendi peke yake. Weye wadhani kuwa kumdhalilisha Mtumishi wa Mungu ili kuhalalisha uovu wako kutakusaidia?? Nakusihi ndg yangu. Kama una ushahidi mzuri tu wa Mtumishi yeyote anayeuza unga, ukiuandika humu JF ni kupoteza ushahidi. Unastahili kufuatiliwa na kufungwa. Usijiongezee balaa. Peleka ushahidi wako kwenye vyombo husika na kama unaona hawatamshika, nenda pamoja na Press na makamera makuubwa urekodiwe. Uma utakuwa nyuma yako wala si humu JF.
Kuhusu Mbasha, kama si roho ngumu, alitakiwa mapema sana amwangukie shem magotini. Amalizane naye kiume nje ya pilato. Nyiye msiompenda mnamdanganya hatafungwa. Nakwambieni, Segerea kunamhusu, mvua 30. Na dhambi ya kumnenea mabaya Gwajima inamngoja. Akitoka humo aje kumwomba tena radhi. Kama ni kuchapiwa anakolialia sasa ndo atachapiwa kweupeeee

Hakika wewe ni Gwajima. Ni suala la muda tu ukweli utakuwa wazi. Mungu ns atende sasa watu muaibike
 
my friend, kama unachoongea ni cha kweli, basi Mungu ataingilia kati. ila kama unachoongea hauna uhakika nacho, umejipanga kuwachafua tu hao jamaa, madhara unayosababisha kwao na kwa waumini wao yatakurudia wewe mwenyewe mara mia. Mungu akusaidie upate ufahamu huo.

binafsi yangu, nilishawahi kusali makanisa hayo yote katika maisha yangu kwasababu mimi ni mlokole (if i am to declare my interest). sadaka wanazotoa pale kwa gwajima waumini walivyo wengi na pale mwenge kwa huyo mtume unayemsema, ni nyingi sana kiasi kwamba wasingehitaji hata kuwa na biashara ya sembe. ni hela nyingi sana kwa jumapili moja hata hutahitaji kuingia kwenye sembe. na kwa majengo yao ya kuishi yale waliyojenga hakika yake kwa sadaka zinazotolewa na vitabu wanavyouza na mafungu ya kumi etc ni mengi sana kiasi cha kumfanya mtu asione umuhimu wa kuingia kwenye iyo sembe. si kila mtu anayefanikiwa anapitia kwenye sembe...

vilevile, identity yako inajulikana, wewe ninahisi ni mbasha. kwasababu kwenye barua yako ile ya kwanza uliandika kuhusu gwajima na kuwa unataka kumshitaki, ulisema kuwa gwajima anauza sembe, hivyo ni wewe mwenyewe.

unachotakiwa kujua, watumishi wa Mungu si malaika, ila wakikosea si sawa na wewe ukikosea, wao huhukumiwa na Mungu mwenyewe, who are you to judge the saints of the Lord? Mungu pekee ndiye anawahukumu, ukiwahukumu wewe Mungu ni mwenye wivu atakurarua hata kama wamekosea. hujui wametoka mbali vipi na Mungu hadi walipofikia hapo, hujui wamevumilia mangapi kwaajili ya Mungu, hujui wamepitia mangapi and how much God values them due to what they have passed through.

kuhusu mbasha, it is unfortunate kwamba asilimia kubwa inaonyesha alikuwa anafanya ngono na yule binti. simhukumu, ila kutokana na ushahidi hasa wa DNA inaonekana alifanya ngono na under-age. hiyo ni statutory rape hata kama binti alikubali, miaka 30 ileile iko palepale tu. kuna ile clip ya audio mbasha aliongea kuomba msamaha kwa yule binti akaongea na story ndeefu kuhusu ndugu zake wa mwanza hadi mzee kulola, kwa aliyesikiliza clip ile atajua hakuna ubishi ngono ilifanyika. na kama ilifanyika, na binti akajulikana ni under 18yrs, basi hakuna ubishi kwamba mbasha alibaka na atastahili kufungwa, na asilimia za kufungwa ni kubwa sana kulingana na jinsi mbasha alivyojichanganya.

binafsi simhukumu mbasha kwa alichokifanya, ninamuonea huruma kwasababu hata mimi si malaika kwamba sijawahi kuzini ktk maisha yangu, nilishazini sana nashukuru Mungu alinisamehe. ila sidhani kama anachokifanya mbasha kinasaidia hasa kiroho kwasababu. angeyamaliza haya mambo chinichini ingemsaidia na angepata watu wanaomsapoti kwenye iyo kesi.

Hakika wewe nimmoja wao. Ni suala la muda tu mtaona hasira yake yeye aliye juu
 
Mnatuzingua ..kila siku kila mtu anakuja na drama yake.....aakhh..yaani mmetuona ss mapoyoyo ...ngoja na mimi nitunge stori yangu.
 
Nafuu haya mambo yangetokea wakati Mzee Kulola ni mzima. Wanawake bwana, Flora hakutaka tena ndoa yake na kufanya uamuzi mbaya ila no secret to God na yatadhihirika Siku moja.
 
Watz bwana!!!!!! mda ulitumia kuandika hilo gazeti hauujutii
 
Kweli mtu anapovutwa miguu na ibilisi haendi peke yake. Weye wadhani kuwa kumdhalilisha Mtumishi wa Mungu ili kuhalalisha uovu wako kutakusaidia?? Nakusihi ndg yangu. Kama una ushahidi mzuri tu wa Mtumishi yeyote anayeuza unga, ukiuandika humu JF ni kupoteza ushahidi. Unastahili kufuatiliwa na kufungwa. Usijiongezee balaa. Peleka ushahidi wako kwenye vyombo husika na kama unaona hawatamshika, nenda pamoja na Press na makamera makuubwa urekodiwe. Uma utakuwa nyuma yako wala si humu JF.
Kuhusu Mbasha, kama si roho ngumu, alitakiwa mapema sana amwangukie shem magotini. Amalizane naye kiume nje ya pilato. Nyiye msiompenda mnamdanganya hatafungwa. Nakwambieni, Segerea kunamhusu, mvua 30. Na dhambi ya kumnenea mabaya Gwajima inamngoja. Akitoka humo aje kumwomba tena radhi. Kama ni kuchapiwa anakolialia sasa ndo atachapiwa kweupeeee

Eti wa watumishi wa Mungu wakati wengi wao ni wezi tu. Na mwingine hapo juu anatetea hawa jamaa kujijengea majumba binafsi kwa sadaka za watu. Shame!!
 
Basi mkiwa mnacopy wekeni source just to appreciate kazi ya mtu....Watu8 Ubarikiwe kwa kutukumbusha..ila Mzee wa Mabebiez atakumind eti "kichwa boga:
 
Hivi huu si ndo ule waraka wa mkuu The Bold au?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ndio huo huo,inawezekana jamaa alikuwa jela katoka jana so kila news hata zilipendwa kwake ni mpya kabisa.
 
Back
Top Bottom