Sasa wewe unawalaumu kuyapeleka masuala kwenye media, ukijifanya decent kumbe ni mnafiki. Kwa ajili ya nini sasa wewe unayaleta hapa? Unajaribu kuachieve nini katika hili kama siyo kuendeleza uozo uleule?
Unamtetea mbasha kwa kuwachafua watu wengine ili mjustify kitendo alichokifanya. Huwezi kujustify dhambi kwa dhambi ya mtu mwingine unless unaimani ya kuwafurahisha watu. Mtu yeyote mwenye imani ya kumpendeza Mungu, hata kama ni mdhaifu, siku zote ataweka kipimo chake na kujustify njia zake kwa kutumia Neno La Mungu. Kipimo cha utakatifu wake ni Kristo na si binadamu yeyote. Ondoeni upagani wenu kanisani na msiendelee kumdhalilisha Kristo kwa kulitukanisha jina lake makusudi ajili ya ujinga na kushindwa kwenu.
BTW, unawezaje kusema Mbasha hakubaka kwa sababu tu alitembea na yule mtoto mara kadhaa kabla hayajajulikana na watu. Hujui kwamba huyo ni binti wa miaka 17? Tafuta maarifa na uso wa Mungu kabla hujaleta Umbeya wa Kumdhalilisha Kristo hapa.
Nyongeza, huyo Mbasha na wewe, hamjui kwamba Flora alikaa London muda mrefu tu kabla hajaolewa na Mbasha? Inferiority complex na insecurities? Naomba uone aibu kwa majungu na umbeya wako. Kama unamtetea ama kumu accuse Flora ama Mbasha, nenda mahakamani ukatoe ushahidi. Hakuna mwenye ufahamu atakuwa na interest na mambo haya hapa. Hatutaki. Tuna mambo muhiimu na ya maana ya kujadili kuliko kutushirikishwa hila na madhambi yenu.
Unamtetea mbasha kwa kuwachafua watu wengine ili mjustify kitendo alichokifanya. Huwezi kujustify dhambi kwa dhambi ya mtu mwingine unless unaimani ya kuwafurahisha watu. Mtu yeyote mwenye imani ya kumpendeza Mungu, hata kama ni mdhaifu, siku zote ataweka kipimo chake na kujustify njia zake kwa kutumia Neno La Mungu. Kipimo cha utakatifu wake ni Kristo na si binadamu yeyote. Ondoeni upagani wenu kanisani na msiendelee kumdhalilisha Kristo kwa kulitukanisha jina lake makusudi ajili ya ujinga na kushindwa kwenu.
BTW, unawezaje kusema Mbasha hakubaka kwa sababu tu alitembea na yule mtoto mara kadhaa kabla hayajajulikana na watu. Hujui kwamba huyo ni binti wa miaka 17? Tafuta maarifa na uso wa Mungu kabla hujaleta Umbeya wa Kumdhalilisha Kristo hapa.
Nyongeza, huyo Mbasha na wewe, hamjui kwamba Flora alikaa London muda mrefu tu kabla hajaolewa na Mbasha? Inferiority complex na insecurities? Naomba uone aibu kwa majungu na umbeya wako. Kama unamtetea ama kumu accuse Flora ama Mbasha, nenda mahakamani ukatoe ushahidi. Hakuna mwenye ufahamu atakuwa na interest na mambo haya hapa. Hatutaki. Tuna mambo muhiimu na ya maana ya kujadili kuliko kutushirikishwa hila na madhambi yenu.