digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Hizo dalili zitaanzia wapi,polisi wetu wako makini,watazitibu mapema hizo dalili kabla hazijaleta madhara.
Nawaonya chadema na wahuni wenzao wanaopanga kuihujumu serikali ya awamu ya tano,hakika watakipata wanachokitafuta.
Nawaonya chadema na wahuni wenzao wanaopanga kuihujumu serikali ya awamu ya tano,hakika watakipata wanachokitafuta.