Sakata la Mechi ya YangaSc vs Simba, Kigogo Mmoja abwaga Manyanga bodi ya ligi kuu

Anatakiwa alivyojiuzulu na kuachia manyanga..afe kabisa..hao ndio wanaratibu ujinga huko kwa lengo la kuiyumiza Simba
 
Who cares? Akwende zake
Kawaida mtu ambaye hajali huwa hajishughulishi, wewe umefungua uzi umeenda sehemu ya kucomment ukabonyeza kitufe cha reply and yet you are asking that freaky question.

Hili Taifa lina maajabu mengi sana.
 
Aondoke tu.
Huyu miaka ya nyuma alikuwa na cheo furani utopoloni, sasa asitarajie bodi iburuzwe kiutopolo.
Aende tu watanzania mil 60 hatajosekana mwingine muadilifu kuchukua nafasi yake.
 
.....kuna 5 _0 hapo mtu alinusa alaona isiwe shida......ngoja nivuruge Derlby
 
bado yule mzee mwenyekiti wa TPBL na CEO wao Almas kasongo
 
Mechi hakuna. Imeisha hiyo
 
Huyo ni wakala wa utopolo, vurugu ifanywe na Yanga , na inaonekana wazi ndo inawanufaisha kwenye mechi halafu mechi isiahirishwe,fair play iko wapi
Ata kama ni wakala kanuni ipi imefuatwa kuahirishwa mechi? Ina maana bodi ya ligi kwa sasa inaendeshwa kama genge la wahuni?
 
Mkifanya uhuni hatufuati kanuni na hamwezi kufanya lolote, ubaya ubwela
Ata kama ni wakala kanuni ipi imefuatwa kuahirishwa mechi? Ina maana bodi ya ligi kwa sasa inaendeshwa kama genge la wahuni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…