Hii nchi hii[emoji1787]Sikia we kilaza
Hiyo orodha ya makocha wazawa wanaotambulika kuwa wanazo leseni A za CAF ndo kwanza imetoka leo mchana.
NB: Wanatambulika tu ila vyetu hawana. Kama vile mtu anakuwa anatambulika kuwa kamaliza form IV lkn cheti bado hajapata