Hili gazeti la Mwanaspoti kwa sasa liwe la kufungia vitumbua na mihogo tu.
Yaani hata uandishi wake kwa siku hizi umekuwa wa kitoto mno.
Hii taaluma imevamiwa na makanjanja.
Halafu na nyie wanahabari wa Tanzania (baadhi yenu) kwa nini mnashindwa kutafuta taarifa iliyokamilika kabla hamjalisha walaji wenu?. Hamjui ya kwamba mnapotoa taarifa za uongo mnawamislead wasikilizaji na watazamaji wenu na hatimae mnakosa credibilty. Imagine yule bwamdogo wa Azam TV alishaanza kujenga jina lake fresh tu lakini kwa tukio hili la Mgunda kuna wanaomuona kuwa naye ni miongoni mwa wapuuzi tu.
Hebu jifunzeni kuwa wanahabari na siyo watangazaji!!!