Tetesi: Sakata la Mo Dewji, mambosasa, DCI Boaz Watenguliwa

Tetesi: Sakata la Mo Dewji, mambosasa, DCI Boaz Watenguliwa

Hapa wamekanusha tu ila hakuna namna wataondoka tu huwez kusema huna mimba muda utafika tu
 
Magogono hawajapenda jamaa kwenda kunywa chai kwa kina Mo.
Na inasemekana kuna mpunga kauminya kutoka kwa kina Dewji
 
Duuh
IMG_0002.JPG
 
Ukiona hivi muda si mrefu utasikia sauti kutoka juu na mambo mapya
 
Itakuwa ni kwa sababu amepatikana [emoji38][emoji38]
Walimuaibisha dingi kwa kufanya mission ya kichekecheachekechea
Wakati wa Mungu si mwanadamu,Japo wangepewa haki ya kugawa pumzi wallahi hakuna angebaki kwa roho zao kama koboko
 
Back
Top Bottom