Sakata la Morrison Kinachoendelea

Kaka yake Mo ni nani labda,mpaka unamuweka hapa kama authority?
 
Waulize Simba wenzio maana wanamjua sponsor wao wa zamani
Sponsor wa zamani? anakuwaje mshauri kwenye masuala ya ufundi sasa? ndo mana nikakuuliza unamtumiaje huyo kama authority kwenye suala la kupinga usajili?
 
Sponsor wa zamani? anakuwaje mshauri kwenye masuala ya ufundi sasa? ndo mana nikakuuliza unamtumiaje huyo kama authority kwenye suala la kupinga usajili?
Huwezi kuelewa nilichozungumza kama ndiyo kwanza umepata smartphone hivi karibuni......
 
Hakuna kitu kama hicho...mlalamikaji anatoa pesa yote...akishinda kesi anarudishiwa cost zake utaratibu upo hivyo hata Mahakama za kawaida.
Futa upumbavuu, em jaribu kutafuta kitu kuhusu Ex parte Judgement we kenge.
 
Huwezi kuelewa nilichozungumza kama ndiyo kwanza umepata smartphone hivi karibuni......
Ni kweli nimepata Smartphone juzi tu hapa,bt miaka yote hiyo nilikua na access na computer...kama unakumbuka kipindi cha Muziki motomoto pale channel ten sisi ndo tulikua wadau wakuomba nyimbo through emails,unajua miaka gani hiyo?...na wala tulikua hatutambui gmail mambo ilikua hotmail au yahoo...

Au we ndo umejua internet baada ya ujio wa Tecno na takataka nyenza?
 
Futa upumbavuu, em jaribu kutafuta kitu kuhusu Ex parte Judgement we kenge.
mkuu tumia lugha za kistaarabu basi,as sijakutamkia neno lolote baya.

Kabla hujafika kwenye experte judjment...nani anatakiwa kugharamia kesi? is it mlalamikaji au mlalamiwa? as simple as that, maana judjement ni kitu cha mwisho hizo cost ni mwanzo tu mkuu.
 
Mie ningeomba tu ndan ya sikukuu hii ya leo wanasheria wanisaidie kitu kuhusu hili la mlalamikaji na mlalamikiwa kutakiwa kulipia gharama ya kesi ili wadaj waweze kuchangia vzr kwenye huu uzi.

cc; Gentamycine.
 
Nina wasiwasi na taarifa ya mwakalebela japo mie ni yanga,nadhani yanga wanacheza kitu kinaitwa mibd game kuwamaliza simba na morrison mwenyewe,tusubiri
 
Kesi itasikilizwa upande mmoja na hukumu itatolewa kulingana na ushahidi wa upande mmoja on top of that mtuhimiwa atabidi kuheshimu hukumu kwa kupenda au kwa lazima.
Ni sheria gani hiyo inayomnyima haki mtu asiye na fedha na kumpa haki aliyenazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…