Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
"Kila mtanzania analaumu watanzania wengine ni wajinga hawaleti mabadiliko, na hao wanao laumiwa nao wanalaumu" - min -me
Kwa takriban juma zima sasa suala la kashfa ya sukari ime trend sana kwenye mitandao ya jamii na JF ikiwa ni moja wapo. Hatimaye sakata la sukari likiwa linaendelea likakutana na trending ya Genearation Z ambayo inapingana na Finance Bill ya Kenya ya 2024, kisha kusababisha uvunjivu wa amani na mali za Wakenya.
Machafuko yaliyotokea Kenya yamewavutia sana wanaharakati wa mabadiliko kutoka Tanzania. Kuna ambao wanatamani maandamano yangefanyika kupinga kitendo cha bunge kumuadhibu Luhaga Mpina.
Katika mitandao ya JF na Twitter (X) kila mtu analaumu kuwa Watanzania ni makondoo au waoga au maiti kwa vile hawawezi kufanya kama Gen Z ya Kenya.
Alichogundua min -me na mimi pia ni kwamba wote wanaokosoa wenzao nao wanakosolewa na wengine. Hakuna yeyote anayesema kesho ataingia barabarani kukosoa chochote.
Watanzania wanachojua ni kunyooshea vidole wengine lakini wakiitwa kwenye maandamano hawatoki. Tumeshuhudia maandamano ya CHADEMA yalivyokuwa na watu wachache
Nini KIFANYIKE?
Kwa takriban juma zima sasa suala la kashfa ya sukari ime trend sana kwenye mitandao ya jamii na JF ikiwa ni moja wapo. Hatimaye sakata la sukari likiwa linaendelea likakutana na trending ya Genearation Z ambayo inapingana na Finance Bill ya Kenya ya 2024, kisha kusababisha uvunjivu wa amani na mali za Wakenya.
Machafuko yaliyotokea Kenya yamewavutia sana wanaharakati wa mabadiliko kutoka Tanzania. Kuna ambao wanatamani maandamano yangefanyika kupinga kitendo cha bunge kumuadhibu Luhaga Mpina.
Katika mitandao ya JF na Twitter (X) kila mtu analaumu kuwa Watanzania ni makondoo au waoga au maiti kwa vile hawawezi kufanya kama Gen Z ya Kenya.
Alichogundua min -me na mimi pia ni kwamba wote wanaokosoa wenzao nao wanakosolewa na wengine. Hakuna yeyote anayesema kesho ataingia barabarani kukosoa chochote.
Watanzania wanachojua ni kunyooshea vidole wengine lakini wakiitwa kwenye maandamano hawatoki. Tumeshuhudia maandamano ya CHADEMA yalivyokuwa na watu wachache
Nini KIFANYIKE?