Sakata la Mpina na Kinachoendelea Kenya: Kila Mtanzania Anamlaumu Mwenzie

Sakata la Mpina na Kinachoendelea Kenya: Kila Mtanzania Anamlaumu Mwenzie

Ni mada iliyoshiba vizuri sana hii. Pongezi kwako mkuu 'Stuxnet' na mkuu 'min-me'.
Nitachangia mawazo nionavyo mimi hapo baadae.
Ila sikubaliani moja kwa moja na maneno yaliyotumika katika mistari hii: Nitaeleza kwa nini sikubaliani na maneno hayo.
Baadae kidogo.
Kongole mkuu Kalamu kwa mchango wako. Tunasubiri mwingozo wako kujua nini kifanyike kutoka hapa tulipofika
 
Ikiwa watakipata wanachokipigania , vinginevyo itakuwa haina maana
 
Back
Top Bottom