Ni mada iliyoshiba vizuri sana hii. Pongezi kwako mkuu 'Stuxnet' na mkuu 'min-me'.
Nitachangia mawazo nionavyo mimi hapo baadae.
Ila sikubaliani moja kwa moja na maneno yaliyotumika katika mistari hii: Nitaeleza kwa nini sikubaliani na maneno hayo.
Baadae kidogo.