Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Bwana Asifiwe!
 
Hakika mimi mwenyewe nilishauri kukiko peter akubali ujinga huu ni bora aende kuzuia kuzikwa mpaka mahakama itoe muongozo
Huyu jamaa labda aanze uanaume kwenye huu msiba alikua anagongewa na Kalala Jr mke wake huyo Muna na watu wote wanajua na anajiachia naye kila sehemu za starehe na Peter yupo kama Zombie hafanyi kitu
 
Apimwe DNA!
 
Mwanamke ana siri sanaaaa i bet Jamaa alichapiwaaa na alie mtoto sio wake
 
Huyu jamaa labda aanze uanaume kwenye huu msiba alikua anagongewa na Kalala Jr mke wake huyo Muna na watu wote wanajua na anajiachia naye kila sehemu za starehe na Peter yupo kama Zombie hafanyi kitu
Ushaambiwa alipewa limbwata unadhani kauli angeitoa wapi.....unalijua limbwata wewe??? Shauri yako usiombe mwanamke akufanye zoba
 
Ila kiukweli huyu jamaa hata kama ikionekana mtoto sio wake lakini ame-play part yake kama mzazi kama yote aliyozungumza yana ukweli kuanzia kutoa huduma za kifedha n.k ...mambo mengine ya migogoro ya familia hiyo tunaachia
Na amekua akisaiddia licha ya kutofautiana kimawazo.
 
huyo Muna ni kiboko. aliacha kumtambulisha mtoto kwa baba yake halisi akiwa hai anakuja kusema mtoto amekufa, kwa maslahi ya nani? wadada wa mjini bwana!!!!?
 
Na principle ya msing wanaume wenzangu...ni..malaya haudumiwi hata siku moja...piga mlipe aende..
 
Wamchome moto, wagawane majivu, kila mtu ayafanye anavyotaka.

Hapo vipi?
 
Aisee kwa sisi wachaga hatuwezi kukubali mtoto wetu akazikwe na mama. Huyu muna ni tapeli wa mapenzi na pesa, mtoto ni mali ya baba. Na tutahakikisha tunampeleka moshi tukampumzishe mtoto wetu
 
Tena ni mwanaume haswa. The problem Marioo na Malaya nchi hii wamekuwa wengi kiasi kwamba wanataka kuwaaminisha watu wote kwamba ujinga wao ndio maisha halisi tunayopaswa kuishi
Which is not fuckn true....

Wafie mbalii mariioo hao na malaya wotee..
 
Huyu jamaa labda aanze uanaume kwenye huu msiba alikua anagongewa na Kalala Jr mke wake huyo Muna na watu wote wanajua na anajiachia naye kila sehemu za starehe na Peter yupo kama Zombie hafanyi kitu
Hana uanaume wwt sema kashikwa masikio sasa hivi

Maana alikua anajua mtoto ana mababa wawili pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…