Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

kama anayosema peter ni kweli . ...basi lawama kwa muna. kama mtoto wa castro kwa nini alikuwa anahudumiwa na peter?
kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patrick Peter?
kwa nini Peter wa watu akatwe bima ya mtoto wakati mtoto si wake?
kwa nini alipishwe ada?
na kwa nini hakumwambia castro mtoto anaumwa? castro anasema yeye taarifa za ugonjwa wa mtoto kazipata insta.
na kwa nini alikuwa hapokei simu za castro?.

matibabu na malezi mtoto atoe peter, mtoto anapewa castro....huko Nairobi kumuuguza mtoto alikwenda na bwana mwingine anayeitwa Joel.
 
Due! Huyu Dada kama yote haya niyakweli...Mungu atamlipia tu
 
MKEMIA MKUU huwaga hakoseagi zile takwimu zake. Huyu mama ni muuaji, yaani jamaa kakukuruka kumtunza mtoto na mtoto amepatikana ndani ya ndoa, baadaye anambiwa sio wako tena kipindi kama hiki cha msiba, ujue mwingine anakuua hivi hivi kwa kumpotezea muda na gharama zake. Huyu mama bora angekaa kimya tu, iwe siri yake na mungu wake, kuliko kuwapa watu faida huko kwenye social networks na huyu mama naona kama msiba haujamgusa hivi umefiwa na mwanao hiyo nguvu ya kuandika instagram unaitoa wapi. Sasa angalia baada ya watu kumuombea marehemu apumzike kwa amani, watu sasa hivi huko Insta, fb, whatsup wanadiscuss kuhusu baba wa mtoto, yaani hizi social networks zimewafanya baadhi ya watu kuwa kama wehu.
 
Huyo Muna Malaya Mbwa tu, hili liwe fundisho kwetu wanaume, unapoamua kuoa zingatia aina ya mwanamke unayetaka kujenga naye familia. Hawa malaya wa Bongo Mav* wanaweza kukatisha maisha yako.
Tatizo tunaangalia chura sheikh wangu....kumbe ata ambiance chura wamejaa...wanaume tukiushinda mtihan wa chura tutakuwa na aman ya milelew
 
Huyo Muna Malaya Mbwa tu, hili liwe fundisho kwetu wanaume, unapoamua kuoa zingatia aina ya mwanamke unayetaka kujenga naye familia. Hawa malaya wa Bongo Mav* wanaweza kukatisha maisha yako.
Mkuu umehamaki sana
 
Yeah, na Mimi ndivyo ninavyoelewa hivi, so hapa peter Zakalia sio mjinga anajua anachokifanya
Sure, kuna kitu kinaitwa Presumption of paternity kwa wanaojua sheria watakuwa wanaelewa, a man is "presumed to be" a child's biological father without additional supportive evidence, usually as a result of marriage.
 
[QUOTE="MKIKUU, post: 27486687, member: 211752"]Zacharia naye angejitulizia kimya sababu ndio matokeo ya kuoa mwanamke malaya, kama yeye mama mtu anasema sio mtoto wako yeye atulie, maana hapo Inategemea na busara za waungwana endapo tu wataamua kwa busara.[/QUOTE]

Huwezi kujituliza kama zinafanya kazi Kichwani.
 
Nimesema sheria nikimaanisha Statutory Acts; sio principles;
Mkuu mimi si mwanasheria lakini najua wapo wanasheria humu, hicho kipengele kinasema a man is "presumed to be" a child's biological father without additional supportive evidence, usually as a result of marriage. Sasa iko kwenye sheria gani au kifungu gani sijui, labda wataalamu watusaidie
 
Muna ni kizibo ...na ameokoka kinafiki ....mwanamke ana roho ngumu yuleee ...nimemsikiliza yule baba anatia huruma ....inaonekana muna alimuweka part kama kitega uchumi ....ila sisi wanawake mungu anatuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…