Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

MKEMIA MKUU huwaga hakoseagi zile takwimu zake. Huyu mama ni muuaji, yaani jamaa kakukuruka kumtunza mtoto na mtoto amepatikana ndani ya ndoa, baadaye anambiwa sio wako tena kipindi kama hiki cha msiba, ujue mwingine anakuua hivi hivi kwa kumpotezea muda na gharama zake. Huyu mama bora angekaa kimya tu, iwe siri yake na mungu wake, kuliko kuwapa watu faida huko kwenye social networks na huyu mama naona kama msiba haujamgusa hivi umefiwa na mwanao hiyo nguvu ya kuandika instagram unaitoa wapi. Sasa angalia baada ya watu kumuombea marehemu apumzike kwa amani, watu sasa hivi huko Insta, fb, whatsup wanadiscuss kuhusu baba wa mtoto, yaani hizi social networks zimewafanya baadhi ya watu kuwa kama wehu.

Nakuunga mkono hakukuwa na sababu ya yeye kusema mtoto ni wa nani kwa kipindi hiki saa ingine na busara itumike tu mdomo siku zote unaponza kichwa. Yeye a focus kwenye msiba wa mwanae na sio kuanza kujibu walimwengu kwenye social network haimsaidii kitu zaidi ya kumdhalilisha tu na kumuongezea machungu at the end hata u explain vipi people believe what they want to believe
 
Mkuu,utajilazimisha kuwa baba wa mtoto ambaye mama yake amekwambia wewe sio baba wa huyo mtoto?
Mkuu, mwanamke akikwambia neno siyo unalichukua 100 percent na kuact kama yeye alivyotaka wewe uact, sometime unatakiwa kuonesha ukomavu kwa sababu siku zote utabaki kuwa kichwa cha familia, Zacharia hata kama si biological father wa huyu mtoto, ameonesha ukomavu. Huwezi kususa maiti kisa mama kasema mtoto hakuwa wako!
 
Mkuu, mwanamke akikwambia neno siyo unalichukua 100 percent na kuact kama yeye alivyotaka wewe uact, sometime unatakiwa kuonesha ukomavu kwa sababu siku zote utabaki kuwa kichwa cha familia, Zacharia hata kama si biological father wa huyu mtoto, ameonesha ukomavu. Huwezi kususa maiti kisa mama kasema mtoto hakuwa wako!
Ila kiukweli huyu jamaa hata kama ikionekana mtoto sio wake lakini ame-play part yake kama mzazi kama yote aliyozungumza yana ukweli kuanzia kutoa huduma za kifedha n.k ...mambo mengine ya migogoro ya familia hiyo tunaachia
 
kama anayosema peter ni kweli . ...basi lawama kwa muna. kama mtoto wa castro kwa nini alikuwa anahudumiwa na peter?
kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patrick Peter?
kwa nini Peter wa watu akatwe bima ya mtoto wakati mtoto si wake?
kwa nini alipishwe ada?
na kwa nini hakumwambia castro mtoto anaumwa? castro anasema yeye taarifa za ugonjwa wa mtoto kazipata insta.
na kwa nini alikuwa hapokei simu za castro?.

matibabu na malezi mtoto atoe peter, mtoto anapewa castro....huko Nairobi kumuuguza mtoto alikwenda na bwana mwingine anayeitwa Joel.
Huyo Zacharia atawashinda kabisa na huo mwili kamwe hautozikwa mpaka mahakama ifanye maamuzi....mtoto alizaliwa ndani ya ndoa na baba amekuwa akimuhudumia kabisa...
Hapa Zacharia lazima awashinde na mimi namshauri akaweke zuio mahakamani Muna asizike kabisa.....
Nitamshangaa sana Zakaria akikubali Muna azike mtoto ,atumie njia yeyote ile mtoto asizikwe mpaka ukweli ujulikane...ikiwezekana ni kuanzisha mtiti kama njia ya mahakama itashindikana....Hii itakuwa fundisho kwa wanawake wanaopenda kuuza miili yao bila kujali kitakacho tokea mbele....
 
Kama alizaliwa ndani ya ndoa huyo ni wa kwake....
Hili jambo likipelekwa mahakamani Zacharia anaweza kuwashinda kabisa....
Jambo liko serious sana......... kuwa baba wa mtoto hakuishii kwenye kutoa mbegu tuuu
Kweli kabisa mkuu, na hata exhumation order inatoka kabisa kama atazikwa kinyume na matakwa ya baba, hili siyo suala dogo ujue!
 
Pumzika kwa amani baba.Siku zote mototo hana hatia kwa tofauti za wazazi,cha msingi wampumzishe wanetu bila malumbano.
 
Huyo Zacharia atawashinda kabisa na huo mwili kamwe hautozikwa mpaka mahakama ifanye maamuzi....mtoto alizaliwa ndani ya ndoa na baba amekuwa akimuhudumia kabisa...
Hapa Zacharia lazima awashinde na mimi namshauri akaweke zuio mahakamani Muna asizike kabisa.....
hapa Muna atumie tu busara ashirikiane na mumewe wamzike mtoto.....kama nguo imeshamvuka kinachofuata ni kuchutama tu
 
hapa Muna atumie tu busara ashirikiane na mumewe wamzike mtoto.....kama nguo imeshamvuka kinachofuata ni kuchutama tu
Umenena vyema, hiyo ndiyo njia pekee ya kusolve hii crisis
 
Sasa wanaume na wanawake tutatofautishwa kwa mavazi...yaani sakata la muna liniumize moyo mimi huku Kimara? Katafute kazi ya kufanya utajikuta mambo ya watu wengine wala hayakusumbui
 
Back
Top Bottom