Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Nani kakudanganya...mama ndo anajua mtoto ni wa nani...Cheti cha ndoa ndo uthibitisho kuwa Ni mwanae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakudanganya...mama ndo anajua mtoto ni wa nani...Cheti cha ndoa ndo uthibitisho kuwa Ni mwanae?
MKEMIA MKUU huwaga hakoseagi zile takwimu zake. Huyu mama ni muuaji, yaani jamaa kakukuruka kumtunza mtoto na mtoto amepatikana ndani ya ndoa, baadaye anambiwa sio wako tena kipindi kama hiki cha msiba, ujue mwingine anakuua hivi hivi kwa kumpotezea muda na gharama zake. Huyu mama bora angekaa kimya tu, iwe siri yake na mungu wake, kuliko kuwapa watu faida huko kwenye social networks na huyu mama naona kama msiba haujamgusa hivi umefiwa na mwanao hiyo nguvu ya kuandika instagram unaitoa wapi. Sasa angalia baada ya watu kumuombea marehemu apumzike kwa amani, watu sasa hivi huko Insta, fb, whatsup wanadiscuss kuhusu baba wa mtoto, yaani hizi social networks zimewafanya baadhi ya watu kuwa kama wehu.
Ahsante MkuuUpo juu kwa kutoa rejea..safi sana
Mkuu, mwanamke akikwambia neno siyo unalichukua 100 percent na kuact kama yeye alivyotaka wewe uact, sometime unatakiwa kuonesha ukomavu kwa sababu siku zote utabaki kuwa kichwa cha familia, Zacharia hata kama si biological father wa huyu mtoto, ameonesha ukomavu. Huwezi kususa maiti kisa mama kasema mtoto hakuwa wako!Mkuu,utajilazimisha kuwa baba wa mtoto ambaye mama yake amekwambia wewe sio baba wa huyo mtoto?
Ila nyie wanawake mkiamua kubadilika mnakuwa viumbe hatari sana daah!Nani kakudanganya...mama ndo anajua mtoto ni wa nani...
Ila kiukweli huyu jamaa hata kama ikionekana mtoto sio wake lakini ame-play part yake kama mzazi kama yote aliyozungumza yana ukweli kuanzia kutoa huduma za kifedha n.k ...mambo mengine ya migogoro ya familia hiyo tunaachiaMkuu, mwanamke akikwambia neno siyo unalichukua 100 percent na kuact kama yeye alivyotaka wewe uact, sometime unatakiwa kuonesha ukomavu kwa sababu siku zote utabaki kuwa kichwa cha familia, Zacharia hata kama si biological father wa huyu mtoto, ameonesha ukomavu. Huwezi kususa maiti kisa mama kasema mtoto hakuwa wako!
Kama alizaliwa ndani ya ndoa huyo ni wa kwake....Cheti cha ndoa ndo uthibitisho kuwa Ni mwanae?
Huyo Zacharia atawashinda kabisa na huo mwili kamwe hautozikwa mpaka mahakama ifanye maamuzi....mtoto alizaliwa ndani ya ndoa na baba amekuwa akimuhudumia kabisa...kama anayosema peter ni kweli . ...basi lawama kwa muna. kama mtoto wa castro kwa nini alikuwa anahudumiwa na peter?
kwa nini mtoto alikuwa anaitwa Patrick Peter?
kwa nini Peter wa watu akatwe bima ya mtoto wakati mtoto si wake?
kwa nini alipishwe ada?
na kwa nini hakumwambia castro mtoto anaumwa? castro anasema yeye taarifa za ugonjwa wa mtoto kazipata insta.
na kwa nini alikuwa hapokei simu za castro?.
matibabu na malezi mtoto atoe peter, mtoto anapewa castro....huko Nairobi kumuuguza mtoto alikwenda na bwana mwingine anayeitwa Joel.
Kweli kabisa mkuu, na hata exhumation order inatoka kabisa kama atazikwa kinyume na matakwa ya baba, hili siyo suala dogo ujue!Kama alizaliwa ndani ya ndoa huyo ni wa kwake....
Hili jambo likipelekwa mahakamani Zacharia anaweza kuwashinda kabisa....
Jambo liko serious sana......... kuwa baba wa mtoto hakuishii kwenye kutoa mbegu tuuu
hapa Muna atumie tu busara ashirikiane na mumewe wamzike mtoto.....kama nguo imeshamvuka kinachofuata ni kuchutama tuHuyo Zacharia atawashinda kabisa na huo mwili kamwe hautozikwa mpaka mahakama ifanye maamuzi....mtoto alizaliwa ndani ya ndoa na baba amekuwa akimuhudumia kabisa...
Hapa Zacharia lazima awashinde na mimi namshauri akaweke zuio mahakamani Muna asizike kabisa.....
Pole sanammmmh! agrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr! YAJAYO YANATIA KARAHA
Umenena vyema, hiyo ndiyo njia pekee ya kusolve hii crisishapa Muna atumie tu busara ashirikiane na mumewe wamzike mtoto.....kama nguo imeshamvuka kinachofuata ni kuchutama tu
Umeongea kama mzaziPumzika kwa amani baba.Siku zote mototo hana hatia kwa tofauti za wazazi,cha msingi wampumzishe wanetu bila malumbano.