Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Huyo Zacharia atawashinda kabisa na huo mwili kamwe hautozikwa mpaka mahakama ifanye maamuzi....mtoto alizaliwa ndani ya ndoa na baba amekuwa akimuhudumia kabisa...
Hapa Zacharia lazima awashinde na mimi namshauri akaweke zuio mahakamani Muna asizike kabisa.....
Nitamshangaa sana Zakaria akikubali Muna azike mtoto ,atumie njia yeyote ile mtoto asizikwe mpaka ukweli ujulikane...ikiwezekana ni kuanzisha mtiti kama njia ya mahakama itashindikana....Hii itakuwa fundisho kwa wanawake wanaopenda kuuza miili yao bila kujali kitakacho tokea mbele....
Issue nzito hiyo aisee inaendana na utapeli pia hata kama itokee kweli jamaa sio baba yake
 
Nakuunga mkono hakukuwa na sababu ya yeye kusema mtoto ni wa nani kwa kipindi hiki saa ingine na busara itumike tu mdomo siku zote unaponza kichwa. Yeye a focus kwenye msiba wa mwanae na sio kuanza kujibu walimwengu kwenye social network haimsaidii kitu zaidi ya kumdhalilisha tu na kumuongezea machungu at the end hata u explain vipi people believe what they want to believe
Hata asingelisema ni lazima Peter Zacharia alitakiwa ashiriki kila hatua maana amekuwa akimuhudumia mtoto na mtoto alizaliawa ndani ya ndoa.....
Muna azunguke,akane,ajipigepige lakini lazima itathibitika mtoto ni wa Zacharia ....kinyume na hapo mtoto huyo tavunja rekodi ya kuchelewa kuzikwa au atakuja kufukuliwa.....
Acha ulimwengu umfunze adabu......lazima ajue utapeli haulipi
 
kuoa/kuzaa na malaya ama mtu asiye jiheshimu inaumiza sana.

huyu muna ni mkunduchi sana, wala sijaona haja ya kumpa pole ikiwa ni msengerema ivi.

yaani ana kiri akiwa kaolewa alikuwa anakazwa nje. akumbuke baada ya msiba kuna maisha (tena yatakuwa ya kisasi yanayoweza pelekea mauti ama ulemavu)
 
You got a cold heart! SMH
Masculine Heart.

Wanaume in the real sense of being a MAN, hatuongozwi na emotions. Kama wewe ni wa kike ni sawa, maana ni sehemu ya kuwa mwanamke. Huyo marehemu anadhurika nini na haya masuala ya ngono za zamani za wazazi wake kiasi outsider kama wewe useme unaumia moyo as if mamaako ni mgonjwa hajiwezi?
 
usiogope mdogo wangu. Ila uwe mwangalifu sana sana. Usichague mke kwa kutumia kigezo kimoja eg uzuri, elimu nk. Fanya uchumba kwa muda umsome. Chunguza historia yake na ya familia yake. Kuna familia nyingine zina tabia na mila za ajabu sana.
Ni kweli mkuu, dunia imejaa watu wa aina zote...wema na wabaya
 
Aisee kwa sisi wachaga hatuwezi kukubali mtoto wetu akazikwe na mama. Huyu muna ni tapeli wa mapenzi na pesa, mtoto ni mali ya baba. Na tutahakikisha tunampeleka moshi tukampumzishe mtoto wetu
Wewe na nani
 
hapa Muna atumie tu busara ashirikiane na mumewe wamzike mtoto.....kama nguo imeshamvuka kinachofuata ni kuchutama tu
Busara pekee ambayo anaweza tumia ni hii uliyo ipendekeza na itatulizA MIZUKA yote kinyume na hapo huyo mtoto atachelewa kuzikwa na hata akizikwa itakuwa chini ya ulinzi wa mabaunsa wa kukodi lakini lazima kwenye hili mahakama ndio pekee itatoa muongozo kabisa....
Huyu Zacharia ni mtu mzima kamwe hawezi kujisingizia anatoa huduma kama hizo wakati hakuwa anazitoa.....
Hii issue iko serious kuliko tunavyodhani yani hapo damu yaweza mwagika...nafikiri serikali lazima itaingilia hili swala mapema kuepusha machafuko....
Huyu Muna angelikuwa na akili angelikwenda kuelewana na baba za watoto hasa aliyekuwa anatoa matunzo....

hahahaha Kalala juniour naye anasema msiba uko Magomeni kwakwe...
 
Wampige risasi tu huyo Castro afe,
Haiwezekani mtu kaolewa halafu wewe unakuwa na sauti kuwa mtoto ni wako, huo ujasiri anatoa wapi?
Ashukuru Zakaria ni mpole na asijaribu kwingineko!
 
Masculine Heart.

Wanaume in the real sense of being a MAN, hatuongozwi na emotions. Kama wewe ni wa kike ni sawa, maana ni sehemu ya kuwa mwanamke. Huyo marehemu anadhurika nini na haya masuala ya ngono za zamani za wazazi wake kiasi outsider kama wewe useme unaumia moyo as if mamaako ni mgonjwa hajiwezi?
Responding to emotions ni miongoni mwa hisia za kawaida kabisa kwa binadamu aliyekamilika, kukasirika, kufurahi, kuhuzunika, kucheka, kulia na kadhalika ni hisia za kawaida ambazo zipo naturally!
Tears, sorrow doesn't signify kwamba you are weak or a feminine being! It simply shows kwamba umekamilika kihisia. You can pretend to be strong inside wakati ukweli ni vice versa!
 
Mkuu, mwanamke akikwambia neno siyo unalichukua 100 percent na kuact kama yeye alivyotaka wewe uact, sometime unatakiwa kuonesha ukomavu kwa sababu siku zote utabaki kuwa kichwa cha familia, Zacharia hata kama si biological father wa huyu mtoto, ameonesha ukomavu. Huwezi kususa maiti kisa mama kasema mtoto hakuwa wako!
Mkuu,hapo sasa kuna misiba miwili,huo bado ni ukomavu?
 
Back
Top Bottom