Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Muulize Le Mutuz ni kwa nini kambia child support Marekani ndio utajuwa maana ya ndoa ni nini na maana ya birth certificate ni nini, wewe jamba jamba tu hapa JF.Vyeti vya ndoa ndiyo vithibitisho vya kisheria kuwa mtoto ni wa huyo Peter?
Iko wazi mama ndiyo anamjua baba wa mtoto.
Nitatulia na kuendelea na shuhuli zangu za msingi.Mkuu kwa hiyo wewe mama chanja wako siku akikwambia watoto ulionao (kama unao) siyo wako, utaamini mara moja na utaacha kutekeleza majukumu yako kama baba kwa sababu tu mwanamke amekwambia?
japo steve ana mambo yake....lkn hapa umemuonea ndugu!Muna ni lidada la mjini, hapo limeshapiga hela na Steve kwa kuchangisha ramba ramba...halijali sintofahamu iliyopo wala heshima ya utu na ndoa na nafasi ya baba mzazi. hata km waliachana...aliyekuzalisha kakuzalisha na huna haki tuuu.
Birth certificate???????Muulize Le Mutuz ni kwa nini kambia child support Marekani ndio utajuwa maana ya ndoa ni nini na maana ya birth certificate ni nini, wewe jamba jamba tu hapa JF.
Mama wa mtoto yuko Instagram "anachamba" na simu yake imeflot rambirambi zingine zinagoma mpaka atowe zilizopo.Not to that extent. Usijitie 'umama' kiasi cha kulia machozi kwenye send off ya dadaako...utawaacha walimwengu midomo wazi kwa huo unaouita ukamilifu.
Somewhere kwenye hii riwaya yako umeandika 'machozi, jasho na damu vinachuruzika'. Kama nikikuuliza nani kati ya wahusika wa jambo lenyewe hili anatoka jasho, achilia mbali damu, sijui kama utamtaja. Ni harakati za kutafuta umaarufu za hao wahusika, ambazo ni sehemu ya kawaida ya maisha yao...wewe unaumia kwa uhusika upi kama sio kujitoa machozi ya hisia kwa msaada ya vitunguu?
Nikweli mkuu Mimi sijui chochote ila wewe unajua kila kitu haya tusaidie mkuu nini maana ya sheriasheria ni nini? abda tuanzie hapa kwanza, maana unaweza kuwa unarukaruka tu kama maharagwe yanayotaka kuiva bila kujua chochote
Muna ni kizibo ...na ameokoka kinafiki ....mwanamke ana roho ngumu yuleee ...nimemsikiliza yule baba anatia huruma ....inaonekana muna alimuweka part kama kitega uchumi ....ila sisi wanawake mungu anatuona
a ba cha da.......Peter ni mlezi wa wana.
Casto ni baba wa mwana ila apeche alolo.
😀😀😀Mama wa mtoto yuko Instagram "anachamba" na simu yake imeflot rambirambi zingine zinagoma mpaka atowe zilizopo.
Kuna wakati tukiweka siasa pembeni Magufuli ni Rais sahihi tulie naye kwa aina ya mijitu ya hovyo iliyojaa nchi hii, njia pekee ya kuirudisha kwenye mstari ni kuwabinya kwelikweli kiasi kwamba kila mtu atamani kuwa mlokole jinsi dhiki zitakavyowaandama. Kwa hili huwa namuunga mkono Magufuli ndiye Rais sahihi kwa mahitaji ya wakati na atakapoanza kuwatandika viboko watu wazembe kule ikulu mishipa ya fahamu ya wajinga wote itazibuka.
Mtoto anaezaliwa ndani ya ndoa ni wanandoa na wana haki nae zote hata ikiwa Mama alichepuka njeNani kakudanganya...mama ndo anajua mtoto ni wa nani...
Birth certificate???????
Hiyo wewe ndiyo unaitaja ila anayejiita baba wa huyo mtoto anaonyesha cheti cha ndoa na picha za harusi kuwa ni evidence zake kuwa mtoto ni wake.
Labda wewe unayesema unaumia moyoni ungeniambia uhusiano wako na marehemu na kinachokuumiza ni nini? Ningekuelewa ungeniambia umesikitishwa na kifo maana kifo hata cha mnyama husikitisha, lakini kuniambia unaumia moyo kwa mambo yasiyokuhusu....mmmh!Hata sielewi unachokipigania ni nini Mkuu, ok lets conclude kwamba wote wanaotokwa machozi, wanaopatwa na huzuni na kuonesha hisia za namna hiyo ni wanawake, na wasioonesha hisia hizo, yaani yule ambaye hata akifiwa halii au akiumia haoneshi kama ameumia ndiyo mwanaume, hapo vipi. You can't supress inner feelings coz zipo hata kabla ya mind, dont yo ask yourself kwa nini watoto wachanga kabisa wanalia, wanacheka, wanashtuka au wanatabasamu?
Facts na evidences wakati mwingine zinapunguza sana mabishano yasiyo na lazima.
Mkuu umepanic, agiza kinywaji unachotumia hapo jirani nakuja kulipaLabda wewe unayesema unaumia moyoni ungeniambia uhusiano wako na marehemu na kinachokuumiza ni nini? Ningekuelewa ungeniambia umesikitishwa na kifo maana kifo hata cha mnyama husikitisha, lakini kuniambia unaumia moyo kwa mambo yasiyokuhusu....mmmh!
Nimecheka kwa sauti, you made my day mkuuMama wa mtoto yuko Instagram "anachamba" na simu yake imeflot rambirambi zingine zinagoma mpaka atowe zilizopo.
Kuna wakati tukiweka siasa pembeni Magufuli ni Rais sahihi tulie naye kwa aina ya mijitu ya hovyo iliyojaa nchi hii, njia pekee ya kuirudisha kwenye mstari ni kuwabinya kwelikweli kiasi kwamba kila mtu atamani kuwa mlokole jinsi dhiki zitakavyowaandama. Kwa hili huwa namuunga mkono Magufuli ndiye Rais sahihi kwa mahitaji ya wakati na atakapoanza kuwatandika viboko watu wazembe kule ikulu mishipa ya fahamu ya wajinga wote itazibuka.
Hakika mimi mwenyewe nilishauri kukiko peter akubali ujinga huu ni bora aende kuzuia kuzikwa mpaka mahakama itoe muongozoNa huo ndio Uanaume, waliosema apotezeee nadhani watakua wamejua kuwa jasho la mwanaume haliliwi, waliowapenda mlipozaliwa ndio watawapenda mtapo kufa
Nilichojifunza kwa huyu Peter ni Mwanamume haswa..Hakika mimi mwenyewe nilishauri kukiko peter akubali ujinga huu ni bora aende kuzuia kuzikwa mpaka mahakama itoe muongozo