music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 485
- 876
Uelewa wangu mpaka sasa ni kwamba Ngorongoro ni hifadhi na eneo la urithi wa dunia. Ni eneo lililotengwa kwa sababu ya upekee wa binadamu ambao ni Masai wanaishi na wanyamapori uku wakifanya shughuli zao in a traditional way.
Serikali inataka kuwaondoa Wamasai wote Ngorongoro kwa sababu ya kulinda mazingira sababu kubwa ni wamasai wamekuwa wengi na wanafanya shughuli zinazoharibu mazingira ikiwemo kujenga nyumba za kisasa, kufunga kengele ng'ombe, kuwa na mifugo wengi kupitiliza, kuharibu asili ya creta nk.
Jambo nilisiloelewa mpaka sasa ndio maana nahitaji ufafanuzi.
1. Kwa nini serikali inawaondoa wamasai wote na sio kuwapunguza ili eneo libaki na ile concept yake ya binadamu kuishi na wanyama?
2. Ngorongoro na Loliondo vinaingiliana vipi? Maana ikitajwa Ngorongoro inatajwa na Loliondo, so mimi binafsi inanichanganya au vyote vinapatikana eneo moja?
3. Nimesikia kuna mwarabu anatajwa kwamba anataka kumilikishwa eneo, huyo mwarabu anamilikishwa hifadhi nzima ya Ngorongoro? Mbona ni eneo kubwa sana anataka kulifanyia nini mbali na kuwinda?
4. Nimesikia Ngorongoro kuna watu zaidi ya laki moja na mifugo zaidi ya million. Kama ni kweli ina-make sense kabisa awa watu kukaa kwenye hifadhi ni wengi sana. Ila ili kundi mbona ni kubwa sana wanaweza kweli kuliamisha kwa usafiri wa magari na kuwapa nyumba za kuishi?
Naomba wasioelewa kama Mimi tusaidiwe kupata majibu maana tunaona tu majeruhi vifo na discussion nzito. Lakini kuna vitu hatuelewi kabisa ikizingatiwa imeshaingia siasa basi inakuwa ligi ya kisiasa wengine tunashindwa kuupata ukweli.
Serikali inataka kuwaondoa Wamasai wote Ngorongoro kwa sababu ya kulinda mazingira sababu kubwa ni wamasai wamekuwa wengi na wanafanya shughuli zinazoharibu mazingira ikiwemo kujenga nyumba za kisasa, kufunga kengele ng'ombe, kuwa na mifugo wengi kupitiliza, kuharibu asili ya creta nk.
Jambo nilisiloelewa mpaka sasa ndio maana nahitaji ufafanuzi.
1. Kwa nini serikali inawaondoa wamasai wote na sio kuwapunguza ili eneo libaki na ile concept yake ya binadamu kuishi na wanyama?
2. Ngorongoro na Loliondo vinaingiliana vipi? Maana ikitajwa Ngorongoro inatajwa na Loliondo, so mimi binafsi inanichanganya au vyote vinapatikana eneo moja?
3. Nimesikia kuna mwarabu anatajwa kwamba anataka kumilikishwa eneo, huyo mwarabu anamilikishwa hifadhi nzima ya Ngorongoro? Mbona ni eneo kubwa sana anataka kulifanyia nini mbali na kuwinda?
4. Nimesikia Ngorongoro kuna watu zaidi ya laki moja na mifugo zaidi ya million. Kama ni kweli ina-make sense kabisa awa watu kukaa kwenye hifadhi ni wengi sana. Ila ili kundi mbona ni kubwa sana wanaweza kweli kuliamisha kwa usafiri wa magari na kuwapa nyumba za kuishi?
Naomba wasioelewa kama Mimi tusaidiwe kupata majibu maana tunaona tu majeruhi vifo na discussion nzito. Lakini kuna vitu hatuelewi kabisa ikizingatiwa imeshaingia siasa basi inakuwa ligi ya kisiasa wengine tunashindwa kuupata ukweli.