Sakata la P Diddy: Amekosea wapi na kwanini sasa?

Sakata la P Diddy: Amekosea wapi na kwanini sasa?

Kama kweli Didy alimtafuna Simba basi atakuwa kamsononesha mno mtoto wa Simba ndugu Babalevo. Sijui atakuwa anajisikiaje hizi tetesi za baba yake kuliwa?.. wajukuu wa Simba ambao ni watoto wa babalevo nao watakuwa kwenye wakati mgumu.
 
Kama kweli Didy alimtafuna Simba basi atakuwa kamsononesha mno mtoto wa Simba ndugu Babalevo. Sijui atakuwa anajisikiaje hizi tetesi za baba yake kuliwa?.. wajukuu wa Simba ambao ni watoto wa babalevo nao watakuwa kwenye wakati mgumu.
kama hajamtafuna
 
washamtoa sadaka
Ila majuu kuna ushenzi mwingi sana ,diddy naye ana ufirauni wake ,huyo mwamba anahusika na kifo cha pac ,check kesi yake ya juzi kwamba alipe 100m usd kwa kosa la kumla kiboga jamaa ,check alivyompa vitasa cassie ,check freakoff party ambazo ni siri havifai kupost ,huyo jamaa ana stahili.

Ebu angalia mavideo ya wanamuziki wa USA yale Dirty version jinsi wanavofanya ,ndiyo mambo yanayofanyika kwenye freakoff party...Rkelly,jayz(fiesta dirty version) ,master P(wabble wabble shake shake) ,Nelly ,50 cent wote hao wamefanya ufirauni ni muda tu nao waingie kwenye mitego.
 
Ila majuu kuna ushenzi mwingi sana ,diddy naye ana ufirauni wake ,huyo mwamba anahusika na kifo cha pac ,check kesi yake ya juzi kwamba alipe 100m usd kwa kosa la kumla kiboga jamaa ,check alivyompa vitasa cassie ,check freakoff party ambazo ni siri havifai kupost ,huyo jamaa ana stahili.

Ebu angalia mavideo ya wanamuziki wa USA yale Dirty version jinsi wanavofanya ,ndiyo mambo yanayofanyika kwenye freakoff party...Rkelly,jayz(fiesta dirty version) ,master P(wabble wabble shake shake) ,Nelly ,50 cent wote hao wamefanya ufirauni ni muda tu nao waingie kwenye mitego.
HTar sana
 
porojo kama porojo nyingine

mambo ya illuminati mnayajulia wapi ikiwa si wanachama

kwenye stori za porojo naskia jay z ana cheo kikubwa leo kwenye stori za porojo jay z alipewa dolla m100 mkewe angongwe na diddy

hapa ni porojo tupu hakuna ajuaye
Wewe una hoja gani strong inayothibitisha kwamba hizi ni porojo. Na hakuna ukweli.

Kama huna wewe ndiyo unaleta porojo.
 
Hivi kuna ulazima wowote wa mtu kuwa tajiri au maarufu? Mbona siuoni, au mimi ndo nina shida.!
 
Kila mtu anazungumza la kwake,lakini kwa mtizamo wangu,naona kabisa hakuna hizo imani zizodaiwa kushawishi watu kuingilia wanaume wengine ili wapate utajiri,hakuna kabisa,tabia ya p -didy na wenzake ni tabia zao binafsi ambazo waliziendeleza wao wenyewe,na asisingiziwe shetani. Kama ni shetani mbona imechukuwa miaka mingi kwa mamlaka kuyajuwa haya yote,unaambiwa Pdiddy alikuwa anamtaka Tup Shakur enzi hizo karibu miongo mitatu iliyopita,Tupac alivyokataa aliuawa baadae,katika dodosa pdidy anahusika katika hayo mauaji ya Tupac,vile vile P didy anaongelewa sana kwa sababu ni mtu maarufu sana katika tsnia ya muziki,mambo ambayo pdidy amekuwa akiyafanya siyo mageni katika uso wa dunia,yalikuwepo toka enzi za Wafalme.
Ibada za kishetani kula tigo ndio sifa zao, unaishi nchi gani mkuu,usijue mambo obvious hivi?Na matajiri wakubwa ndio zao
 
🟠‼️ "I've been around Diddy for millions of times and I've attended his parties over 100 times but I didn't see anything. I think the only crîme Diddy commîtted is being blãck and successful."__The Game 👀😳

"Before I got signed to Aftermath Entertainment, I was always with Diddy. I still have a relationship with P Diddy and nothing can ever come between our friendship. All the times that I've been around Diddy, he has been nothing to me but a good person and every sincere person who has met Diddy will tell you that he's a good person. I've been around Diddy for millions of times and I ain't never seen any of these things people are saying agaînst him. I don't know about other people's experiences with him but left to me, I'd say Diddy is good man. Diddy has always been a good person to me, a good mentor, and a good elder brother. Diddy is someone who will always own up to anything if he did it and handle the situation. I don't know if these things are true but the Diddy I know will never do any of these things. The truth is when a blãck man becomes too successful and starts competîng agaînst bigger corporations, they'll do everything possible to bring him dõwn. This thing that is happening to Diddy happened to Kanye West and the fact is they're gonna go aftęr another successful blãck man after Diddy. These allegatîons only started after Diddy said he's parting ways with Ciroc. If Diddy was doing all these thîngs, why wait till he parted ways with Ciroc before all this came out. I think it's an agenda to teãr down successful blãck celebrities."- The Game
1000047575.jpg
 
Back
Top Bottom