Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #21
washamtoa sadakaInasikitisha sana ,Diddy kwisheney.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
washamtoa sadakaInasikitisha sana ,Diddy kwisheney.
shayooooInavyosemwa...hivi mtu na akili zako timam kweli, unaweza kumkunja Burna boy na sura ile
kama hajamtafunaKama kweli Didy alimtafuna Simba basi atakuwa kamsononesha mno mtoto wa Simba ndugu Babalevo. Sijui atakuwa anajisikiaje hizi tetesi za baba yake kuliwa?.. wajukuu wa Simba ambao ni watoto wa babalevo nao watakuwa kwenye wakati mgumu.
Ila majuu kuna ushenzi mwingi sana ,diddy naye ana ufirauni wake ,huyo mwamba anahusika na kifo cha pac ,check kesi yake ya juzi kwamba alipe 100m usd kwa kosa la kumla kiboga jamaa ,check alivyompa vitasa cassie ,check freakoff party ambazo ni siri havifai kupost ,huyo jamaa ana stahili.washamtoa sadaka
HTar sanaIla majuu kuna ushenzi mwingi sana ,diddy naye ana ufirauni wake ,huyo mwamba anahusika na kifo cha pac ,check kesi yake ya juzi kwamba alipe 100m usd kwa kosa la kumla kiboga jamaa ,check alivyompa vitasa cassie ,check freakoff party ambazo ni siri havifai kupost ,huyo jamaa ana stahili.
Ebu angalia mavideo ya wanamuziki wa USA yale Dirty version jinsi wanavofanya ,ndiyo mambo yanayofanyika kwenye freakoff party...Rkelly,jayz(fiesta dirty version) ,master P(wabble wabble shake shake) ,Nelly ,50 cent wote hao wamefanya ufirauni ni muda tu nao waingie kwenye mitego.
Wewe una hoja gani strong inayothibitisha kwamba hizi ni porojo. Na hakuna ukweli.porojo kama porojo nyingine
mambo ya illuminati mnayajulia wapi ikiwa si wanachama
kwenye stori za porojo naskia jay z ana cheo kikubwa leo kwenye stori za porojo jay z alipewa dolla m100 mkewe angongwe na diddy
hapa ni porojo tupu hakuna ajuaye
Ila jamaa sijui ana ugomvi gani na mbunye. Yeye anapambana na tigo ru. Haya ni mapepo tu.Nahisi jamaa alichoka kufuata masharti.... tigo zinachosha
We mpk burna boy na sura ile unakula tigo...lzma ni masharti yaleIla jamaa sijui ana ugomvi gani na mbunye. Yeye anapambana na tigo ru. Haya ni mapepo tu.
Yes. Itakuwa masharti+mapepo, sio bure!We mpk burna boy na sura ile unakula tigo...lzma ni masharti yale
Ibada za kishetani kula tigo ndio sifa zao, unaishi nchi gani mkuu,usijue mambo obvious hivi?Na matajiri wakubwa ndio zaoKila mtu anazungumza la kwake,lakini kwa mtizamo wangu,naona kabisa hakuna hizo imani zizodaiwa kushawishi watu kuingilia wanaume wengine ili wapate utajiri,hakuna kabisa,tabia ya p -didy na wenzake ni tabia zao binafsi ambazo waliziendeleza wao wenyewe,na asisingiziwe shetani. Kama ni shetani mbona imechukuwa miaka mingi kwa mamlaka kuyajuwa haya yote,unaambiwa Pdiddy alikuwa anamtaka Tup Shakur enzi hizo karibu miongo mitatu iliyopita,Tupac alivyokataa aliuawa baadae,katika dodosa pdidy anahusika katika hayo mauaji ya Tupac,vile vile P didy anaongelewa sana kwa sababu ni mtu maarufu sana katika tsnia ya muziki,mambo ambayo pdidy amekuwa akiyafanya siyo mageni katika uso wa dunia,yalikuwepo toka enzi za Wafalme.
He has a clean sheetWhat about jay Z ?