Sakata la Pierre Liquid; Shilole aomba Radhi

Indeed
 
bashite ndio mwanzilishi wa ujinga huu mbona humsemi[emoji83] [emoji196] [emoji216] [emoji196] [emoji216]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Facts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtume muhammad aliwahi kusema...

إذا أردت أن تذكر عيوب غيرك فذكر عيوب نفسك

"utakapotaka kutaja aibu za mwenzio,basi kumbuka aibu zako kwanza"
 
Hahahahah kumamamake Word leo umenichekesha kinoma kichaa angu! Umeongea real shyt kinazi sema umeniacha hoi kinoma yani! Amini kwamba yani, yupo msenge ana file lako ila wewe hujui!
 
Hahahahah kumamamake Word leo umenichekesha kinoma kichaa angu! Umeongea real shyt kinazi sema umeniacha hoi kinoma yani! Amini kwamba yani, yupo msenge ana file lako ila wewe hujui!
[emoji23][emoji23][emoji23] truue man yan utakapo zingua ndo utajua kalitoa wapi hilo file watu wanawezakua kama hawana habari ivi na wewe sasa we chokoza sasa utashangaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] truue man yan utakapo zingua ndo utajua kalitoa wapi hilo file watu wanawezakua kama hawana habari ivi na wewe sasa we chokoza sasa utashangaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Shishi alianzisha ugomvi kilabuni, ilikuwa hana budi kuzioga chupa na mitusi juu! 😅😅😅😅😅😅😅
 
Piere liquid ndo mtu maarufu zaidi hapa Tanzania kuanzia jana
 
Baada ya huu uzi nimethibitisha Habari ya mtungo kwa Shilole ni uzushi unaofaa kupuuzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…