Sakata la Sabaya tusilipime kwa yeye kufikishwa Mahakamani

Sakata la Sabaya tusilipime kwa yeye kufikishwa Mahakamani

Sabaya itapigwa dana dana na ataendelea na maisha mtaani.

Na hapo atawekewa dhamana basi kazi kwisha
 
Kama kweli watz tunampango wa kuendelea na amani yetu,huyu bwana tuachane nae coz naona suport aliyonayo mitaani ni km trump
Mademu zake ndiyo wanamtetea kwa kuwa ndiyo alikuwa anakula nao mabilioni yake aliyopora. Huyu jela inamhusu
 
Leo umeongea ukweli.

CC: MATAGA wote wa JamiiForums.
Mkuu wenzio wa bavicha wanaoshangilia wana vichwa vya panzi,

Kwanza hiyo special treatment anayopewa inaonesha pengine hakuwa hata huko mahabusu. Mbona kina Lema pamoja na kuwa walikuwa wabunge ila walikuwa wanapakiwa kwenye karandinga tena na mitutu juu? Inakuwaje huyu anashuka kwe cruiser tena kiofiser namna hiyo?

Kuwadanganaya wajinga somtimes ni muhimu ili nchi iendelee.
 
Chengachenga hapana,huyu mtu ana jinai tena zilizo waziiii.Watanzania si wajinga
 
We tukana tu ila habari ndio hio.
Kalipie kadi ya LAKI 2 Mbowe akale BATA Dubai.

Wewe endelea kusubiri Mbowe akishika madaraka ndio amalize shida zako zoteee.

Muhimu nunua kadi yeye akale maisha DUBAI na Joyce Mukya.
 
Hatua hii ni ya kupongezwa mno. Mama Samia angeweza sana kumtumbua tu na kufunika kombe.

Acha haki ikatendeke Mahakamani sasa.
 
Hawezi kuchomoka kwenye mashtaka yote hayo, labda ya ubakaji na ulawiti yanayohitaji ushahidi kama picha za video au manii na nywele za sirini, japo pia ushahidi wa kimazingira unaweza kumtia hatiani kutokana na hoja zitakazotolewa na upande wa mashtaka.

Lakini hayo mashtaka ya kupiga watu, kuhudumiwa na kutolipa, kuchukua wake za watu mbele ya waume zao that's kidnapping wengi waliona, kazi anayo.
Kwa mfano hiyo kula wake za watu nayo si inahitaji ushahidi wa wazi?

Hata hiyo ya huduma kisha hakipi utakuta labda anadaiwa si zaidi ya milioni 10 ambazo kwake ni hela ya mboga tu

Sabaya kwenye hii kesi itapigwa dana dana na atawekewa dhamana kisha kesi kwisha.
 
Sabaya kupelekwa mahakamani ni jambo moja, na kitachojiri mahakamani, ni jambo lingine na ambalo ndio la msingi zaidi. Hivyo, tujipe muda badala ya kufurahia kuwa haki imetendeka.

Kumbukeni: Zimwi likujualo, halikuli likakwisha.

Mwisho, tujiulize Sabaya aliyatenda haya bila kuwa na baraka za mtu au watu fulani?Na hao TAKUKURU watakuwa tayari kuwasilisha ushawishi au maelezo yatayohusisha waliokuwa wanamtuma(kama alikuwa anatumwa))?

Na vipi Sabaya akiamua kuweka kila kitu hadharani in case alikuwa anatumika?

Nitakuwa wa mwisho kuamini aliyatenda haya pasipo vyombo vya dola vilivyodhibiti ujambazi kuyajua..

Time will tell.
Wakati anaonywa kutokana na matendo yake, mbona mlikuwa mnawakejeri waliokuwa wanamuonya?
 
Mkuu wenzio wa bavicha wanaoshangilia wana vichwa vya panzi,

Kwanza hiyo special treatment anayopewa inaonesha pengine hakuwa hata huko mahabusu. Mbona kina Lema pamoja na kuwa walikuwa wabunge ila walikuwa wanapakiwa kwenye karandinga tena na mitutu juu? Inakuwaje huyu anashuka kwe cruiser tena kiofiser namna hiyo?

Kuwadanganaya wajinga somtimes ni muhimu ili nchi iendelee.
Dada unampenda mumeo kweli kweli na pingu zile na bastola mgongoni ndiyo special treatment? Lini wakina Lema uliona wameoigwa pingu? Haya dada mpende mumeo.
 
Kama anaonewa vile.Si alikuwa Mkiti kamati ya ulinzi na usalama.
Mifumo yetu na Katiba in dhaifu?

Kwanini alipokuwa anatenda hayo mengi vyombo vilikuwa wapi?

Je alikuwa na kinga kama JOBO?
Kamati ya maadili ya CCM ilikuwa wapi?

WANGAPI WAMEUZWA KWA KIPINDI CHOTE HICHO.
 
Dada unampenda mumeo kweli kweli na pingu zile na bastola mgongoni ndiyo special treatment? Lini wakina Lema uliona wameoigwa pingu? Haya dada mpende mumeo.
Siku utakayo muona sabaya yuko mtaani ndio utajijua kumbe wewe ndio dada!

Ni wajinga pekee wanfaofikiri Sabaya atafungwa hata mwezi mmoja tu
 
Kumbuka iliwahi daiwa kuwa alikuwa anakusanya noti kwa ajili ya shughuli za chama fulani.

Serikali ya hicho chama fulani usichokitaja jina ndio kinafanya uchunguzi sasa?
Au ndio tuwe na subira ?
 
Shida ya Sabay ni mentor wake....angeweza kuwa kiongozi mzuri sana kama angepata mentor mzuri..sijui mentor wake alikuwa nani?
 
Back
Top Bottom