Iloswali kawaulize bakwata ndio walianza kumpamba mtukufu waoSasa Mzee wangu, ikitokea Wakatoliki au walutheri au wakristo wote kwa ujumla wakatangaza kura ni kwa flani(upande tofauti na aliochagua sheikh wako) kama alivyofanya Sheikh Ponda unadhani nini kitatokea baada ya matokeo!?
Umenena Vyema..Mzee,
Ingawa nina admire sana kipaji chako cha uandishi na hifadhi ya historia lakini kuna jambo moja baya sana linakuhusu.
Unapenda Tanzania iwe nchi ya Kiislam na unalazimisha historia itambue kwamba Watanganyika wote kabla ya Uhuru walikuwa hawana muamko wa kusaka uhuru zaidi ya kikundi cha masheikh wachache wa Mzizima na Bagamoyo ambao waliamua kumtunuku Mwalimu Nyerere ashike bendera ya kudai uhuru.
Katika hoja zako zote lazima uweke udini tena udini unaolenga kujenga chuki.
Unatumia uzee wako vibaya sana. Unapaswa kuheshimu sheria na taratibu za nchi. Kitendo cha kuunga mkono harakati za marehemu sheikh Ilunga ni sahihi sana kukuona hauna tofauti na wapiga ramli wanaoiombea nchi yetu iingie kwenye janga tena la machafuko.
Waache masheikh wamtumikie Mola wao, kama unachukia nenda kawashtaki kwa Mungu na siyo kuwadhalilisha.
Ponda anajulikana tangu awali kuwa anasaka umaarufu bila kujali athari zake.
Nakupinga sana kwenye hili
Kabla ya kujibu swali lako jiulize kwa nini tangu kuingia madarakani kwa serekali hii ya kidhalimu ya awamu ya 5 kwa nini wamekuwa wakijipendekeza sana kwa waislamu wa BAKWATA na kuwa rasimisha katika shughuli zao za kisiasa kila kukicha?Sasa Mzee wangu, ikitokea Wakatoliki au walutheri au wakristo wote kwa ujumla wakatangaza kura ni kwa flani(upande tofauti na aliochagua sheikh wako) kama alivyofanya Sheikh Ponda unadhani nini kitatokea baada ya matokeo!?
Mashekh wanaotetea wanyonyaji wa wananchi ni wapuuzi.SAKATA LA SHEIKH PONDA: MASIKINI "MASHEIKH RASMI" HAWAJUI KUWA HAWANA WAISLAM WANAOWAONGOZA, WAKO PEKE YAO
Awali ya yote mimi sitajiingiza katika propaganda za uchaguzi bali nitajaribu kueleza hali ya Waislam ilivyo.
Kwanza ni kuwa Waislam toka ilipovunjwa EAMWS na serikali mwaka wa 1968 na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir kukamatwa na kufukuzwa nchini na serikali kuwaundia Waislam BAKWATA, Waislam wameishi na kinyongo miaka yote sasa inafika nusu karne.
Ndiyo unasikia lugha za "sheikh wa BAKWATA," Waislam wakijiweka mbali na BAKWATA.
Na ukweli ni kuwa BAKWATA haijaweza kukubalika na sababu ni ndogo kuwa si taasisi iliyoundwa na Waislam wenyewe.
Matokeo yake ni kuwa katika hii jamii kubwa ya Kiislam Waislam wana viongozi wao wanaowakubali, kuwaamini, kuwapenda na kuwasikiliza wanachowaambia.
Sheikh Ponda ni mmoja wa masheikh hawa.
Sheikh Ponda amewaeleza Waislam nani adui ya Waislam wa Tanzania na akasimama kupambana na adui huyu huku akiungwa mkono na Waislam wengi sana.
Katika juhudi hizi Sheikh Ponda kakutwa na shida nyingi.
Kalipa kwa ajili ya Allah kwa machozi na damu.
Kwa damu yake na machozi ya nduguze Waislam.
Nimeweka hapa FB makala fupi ya maisha ya Sheikh Ponda katika kuwatumikia Waislam sasa mtafute sheikh yeyote wa BAKWATA ambae amepata kusimama na Waislam katika dhiki na shida zao.
Hakuna.
Katika hali kama hii ni tabu sana kujaribu kumchafua sheikh kwa propaganda hizi za uchaguzi kwa kuwa Waislam wanamjua Ponda ni nani.
Ponda anawakilisha sauti ya Waislam wengi, wengi, wengi sana.
Wako waliotambua hili na wamejua nini wafanye waweze kupata kura za Waislam.
Hawa ni watu wenye kufikiri na kukubali ukweli kuwa Waislam wanaishi na kinyongo dhidi ya utawala kwa miaka mingi.
Hawa wametumia fursa hii kwa kuhaidi kutoka haki na fursa sawa kwa wote.
Ndiyo maana hujasikia Waislam wamefanya maandamano kumpinga Sheikh Ponda.
Wanaompinga Sheikh Ponda si masheikh bali ni "masheikh wa BAKWATA."
Chunguza.
Picha: Kulia ni Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir (1880 - 1979) na kushoto ni Sheikh Issa Ponda.
Mkuu fafanua hapo ulipoandika ''wote uislamu unawakataa" tuambie kwanini wanakataliwa? Au kosa lao ni nini mpaka wakataliwe?Hivi kwanini wengi wa watu wanao andika harakati za Waislamu wengi hawaziandiki harakati hizi kwa mujibu wa Uislamu wenyewe ?
Mfano mzuri ni hii makala fupi mzee wangu. Kuna muda huwa nawapa udhuru labda kwa sababu ya mapenzi yenu juu ya dini hii Adhimu, ila elimu na mizani ya kuipimia hizi harakati hamna, aidha mnaijua lakini mnaipuuza au hamna mizani hiyo.
Lakini mzee wangu kauli yako ya mwisho kuhusu wanao mpinga Ponda si Masheikh bali ni Masheikh wa BAKWATA si sahihi, na unatakiwa urekebishe, na sisi tunasema hivi "MASHEIKH WA BAKWATA NA PONDA WOTE WANAPINGWA NA QUR'AAN NA SUNNAH". yaani wawili hao wote Uislamu unawakataa. Sasa utaniambia usahihi wa Ponda huwa mnaupima kwa mizani ipi ?
Wanayo yafanya Uislamu unakataa.Mkuu fafanua hapo ulipoandika ''wote uislamu unawakataa" tuambie kwanini wanakataliwa? Au kosa lao ni nini mpaka wakataliwe?
HahhahhahahhaSana, huyu Jamaa anaweza sana kuhamisha kwa maneno ya kujaza Jazba
Sijui imekuaje Mamlaka za Nchi zinamuacha anazunguka Kwny Ngome yake ya kusini Mikoa ya Mtwara na Lindi…kule Tandahimba hadi Tunduru ana wafuasi wengi sana sana …Tume iangalie kwny orodha ya wahamasishaji wa Lissu iliyowasilishwa Tume kama Ponda yupo, otherwise aamriwe arejee Dar mara moja
Sheikh wangu Ponda namkubali sana sana sana lakin nakosana nae kwny misimamo yake mikali dhidi ya Chama na Serikali
Sheikj Ponda anamfuata mtume kwa kusimamia haki.Wanayo yafanya Uislamu unakataa.
Kosa lao ni kutomfata Mtume.
Hebu hayo maswali yageuze yawe ya Sheikh Musa wa Mkoa wa Dar ,penye Lissu weka Magufuli ,penye Wakristo weka Waislam!1) Mzee Said unataka kusema kwamba waislamu wakimchagua Lissu mgombea alienadiwa na Ponda ndio matatizo ya waislamu yataisha, au huyo mgombea atakuwa sababu ya waislamu kuingia peponi?
2) Kwa mwendo huu wa Ponda kuwaambia waislamu wamchague Lissu akitokea kiongozi anaekubalika na wakristo wengi nae akasema wakristo wamchague JPM, huoni kwamba tunaelekea kuligawa taifa kidini?
Natanguliza shukran zangu kwako Mzee wetu Said wa jukwaa la history.
Ndio maana sheikh ubwabwa alipaniki.Katibuliwa kweli🤣
Mtume alikuwa anasimamia vipi haki za waislamu mpaka umfananishe na Ponda ?Sheikj Ponda anamfuata mtume kwa kusimamia haki.
Sheikh Ponda kapigwa risasi kwa anilo ya dini kama mtume alivyong'olewa jino kwa ajili ya dini.
Wakiristo sio makafiri isipokua akisema au akitenda matendo ya kufruMkuu Zanzibar-ASP , ungeweza kujenga hoja yako bila kutumia lugha ya maudhi ya kuwaita watu makafir!. Kwa mujibu wa Waislamu, Kafir ni mtu asiye na dini, sasa kwa vile serikali yetu haina dini, ni haina dini kwa maana ya a secular state na sio haina dini kwa maana ni kafir, tena jina kasir lina bado connotation meaning ukisema kafiri, Wakiristo tunakasirika kama unamaanisha ni ya Mwenyeenzi Mungu ni Islam tuu, nje ya hapo, wote ni ma makafiri!.
This is not a fair comment!,
P
Ramli hiiSheikh Ponda ni kama sheikh Ilunga(Mola amjaalie pumziko jema) wote wanapigania maslahi ya waislamu wenzao.
Hawa masheikh ubwabwa ni wapuuzi tu.