JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
CCM kama chama kikongwe na kilichodumu kwa mda wa miaka, ni chama kinachoaminika kuwa na uongozi imara na makini.
Binafsi nimeshangaa kuona namna gani umeshindwa kushugulikia swala la Spika na Rais. Maswala haya ni ya mihimili miwili, Spika anatakiwa alindwe kwa nguvu na kama anavyolindwa Rais na JM kwa maana ya mihimiri mitatu kama ilivyo katika katiba yetu.
Kwa niliyoyaona kwa macho na masikio yangu nimeanza kufikilia kwamba hii nchi haina viongozi mathubuti wa kushugulika na mambo magumu na mazito. Viongozi waliopo wengi wanaangalia masirahi yao binafsi.
Swala la CCM kuruhusu vijana kumtukana sipika kisa tu katoa maoni kinzani ni kuonesha umma kwamba CCM haijapevuka; bado ni changa mno. Zile ngonjera nilitegemea kuziona ACT wazalendo kwa maana viongozi wengi ni wapya kwenye changamoto kubwakubwa ila sio CCM.
CCM kimeonesha udhaifu kwenye kusimamia masirahi ya UMMA kwa maana ya muhimiri ya Bunge. Kwa sasa ni ngumu sana kuwaaminisha watu kwamba kuna mihimiri mitatu kwa maana watu wameshaona.
Sote tunajua Ndugai alikuwa na uadui na upinzani kwa jinsi alivyowafanyia lakini hii haikuwa na maana CCM wangeruhusu kelele za upinzani ziwatoe kwenye reli. CCM wamecheza ngoma ya upinzani na sasa mjiandae kueleza umma kwamba mihimiri iko mingapi.
Nashawishika kusema kwamba CCM iko kwenye denial stage. Ndio maana haina uwezo tena wa kufanya upembuzi yakinifu.
Asanteni, tukutane 2025.
Binafsi nimeshangaa kuona namna gani umeshindwa kushugulikia swala la Spika na Rais. Maswala haya ni ya mihimili miwili, Spika anatakiwa alindwe kwa nguvu na kama anavyolindwa Rais na JM kwa maana ya mihimiri mitatu kama ilivyo katika katiba yetu.
Kwa niliyoyaona kwa macho na masikio yangu nimeanza kufikilia kwamba hii nchi haina viongozi mathubuti wa kushugulika na mambo magumu na mazito. Viongozi waliopo wengi wanaangalia masirahi yao binafsi.
Swala la CCM kuruhusu vijana kumtukana sipika kisa tu katoa maoni kinzani ni kuonesha umma kwamba CCM haijapevuka; bado ni changa mno. Zile ngonjera nilitegemea kuziona ACT wazalendo kwa maana viongozi wengi ni wapya kwenye changamoto kubwakubwa ila sio CCM.
CCM kimeonesha udhaifu kwenye kusimamia masirahi ya UMMA kwa maana ya muhimiri ya Bunge. Kwa sasa ni ngumu sana kuwaaminisha watu kwamba kuna mihimiri mitatu kwa maana watu wameshaona.
Sote tunajua Ndugai alikuwa na uadui na upinzani kwa jinsi alivyowafanyia lakini hii haikuwa na maana CCM wangeruhusu kelele za upinzani ziwatoe kwenye reli. CCM wamecheza ngoma ya upinzani na sasa mjiandae kueleza umma kwamba mihimiri iko mingapi.
Nashawishika kusema kwamba CCM iko kwenye denial stage. Ndio maana haina uwezo tena wa kufanya upembuzi yakinifu.
Asanteni, tukutane 2025.