Bro!Wanatafuta kick kwa mgongo wa Sugu
......Alikuwepo kabla ya fm
acha wenge wewe, Mako Chali kasema beat ni mali yake na beat ilikua imerekodiwa chorus tayariBlue kasema,
What else unataka niamini.
ulicho kiongea ni kuonyesha ni chuki kiasi gani ulizonazo kwa sugu,,pole sana na kwa taarifa yako blue nyimbo haikuwa yake na sugu alifata taratibu zote mpaka kurecord wimbo huoSiasa ipi wakati kila kitu kipo wazi. Sugu hakuwahi kuwa na wimbo unaoitwa freedom katika maisha yake wala hiyo idea mpaka pale alipoitwa na Blue kushirikishwa ndio akachukua wimbo alioitwa kushiriki hivi kuna ugumu gani hapo kuona Sugu huo wimbo haujawai kuwa wake mpaka aipousikia na kuuiba!?
Sugu kaiba wimbo na kwenye original version kafunikwa mbaya.
mh mbunge anagombea wimbo na vitoto, enzi za mwalimu ingekuwa sababu tosha ya kuachishwa ubunge
KWANI UMELAZISHWA KUSIKILIZA??That's real gangster!
Sugu aache kuiba nyimbo za watu muziki wenyewe anamuimbia nani anatia aibu tu.
si anatafuta kiki tuSugu, sidhani kama neema wa mitego anaweza na jeuri ya kukabiliana naye.