Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

we jamaa bana na majibu yako...kwani tunaishi kipindi cha nyerere nn tv ipo kwa raisi tusisikie hayo mashow unayoyaongelea..anyhow Get rich or die trying acha dogo asake kivyovyote
 
Yaani ukikosoa sirikali lazima utatengenezewa zegwe la namna yeyote na ikibidi watakutoa kwenye mstari wa mafanikio, Mungu atusaidie jamani
 
Yaani ukikosoa sirikali lazima utatengenezewa zegwe la namna yeyote na ikibidi watakutoa kwenye mstari wa mafanikio, Mungu atusaidie jamani
Lakini hili ni Kaburi la 2013; LIMEFUKULIWA!
 

Mwakyembe ulifikia wapi kwenye Uchunguzi?
 
aiseee yametimia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…