Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

Sakata la Unga: Mwakyembe aagiza msanii Diamond achunguzwe

Kwa alipofikia sasa huenda ni kweli, amejiuza vizuri sokoni ana wateja wengi toka nchi mbali mbali.
Inshort jamaa ana upepo kama wa Mr.Nice enzi za kuku kapanda baskeli!
Upepo wa Mr. Nice ulikuwa wa mda mfupi, kama miaka mi3 tu
 
Tatizo ni je, ushahid wanao??
Kama hawana bado itkuwa ngumu kumuadabisha Mond,
 
Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya majina yanayosemekana ya wauza unga/punda ambayo yapo ktk kitengo internal intelligency lipo jina la msanii Diamond.

Inasemekana Diamond anaurafiki wa karibu na mabosi wa Masogange, ambao wengine wapo sauz sitowataja na ambao ndo waliusafirisha mwili wa Mangwea. kamera za CCTV za uwanja wa JNA zimekuwa zikionesha ukaribu wa Diamond na wale watu waliotajwa na waziri kuwa walimsaidia Masogange kupitisha mzigo.

Pia safari za kimuziki sehemu mbalimbali duniani ambazo nyingi hupangwa/kutafutwa na vigogo wa madawa ya kulevya waliopo tanzania na wale waliopo sauzi(ambao wasanii wa bongo fleva wanawafaham).

Wakati huohuo serikali inajaribu kuchunguza akaunti za Diamond ambazo zinaonekana kubwa mno kulinganisha na kipato cha kawaida cha wasanii.

Uchunguzi bado unaendelea, lakini Diamond amekanusha kuhusika na sembe
chama chetu oyeeee!, nawaonya wasanii waache kupigia kampeni vyama vya siasa. wanasiasa hawana rafiki
 
Kwa alipofikia sasa huenda ni kweli, amejiuza vizuri sokoni ana wateja wengi toka nchi mbali mbali.
Inshort jamaa ana upepo kama wa Mr.Nice enzi za kuku kapanda baskeli!
OD2.jpg
OD2.jpg OD2.jpg
Ukibadilisha kwa ela ya kibongo unapata million 111,977,895.93 za tanzania na hiyo ni 2016 hatujui 2018 wanamlipaje.
 
Mkuu angalia takwimu zako vizuri..!!

Unajua thamani ya pesa uliyoitaja kwa shilingi ya kitz?
Daaahh aisee ni DOLA 55000 nimekosea,ni DOLA 55 elfu kwa mujibu wa Eric shigongo na vyanzo vingine
 
Mara free mason Ila manasahau,wahenga husema Juhudi ni shina la maendeleo
 
Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya majina yanayosemekana ya wauza unga/punda ambayo yapo ktk kitengo internal intelligency lipo jina la msanii Diamond.

Inasemekana Diamond anaurafiki wa karibu na mabosi wa Masogange, ambao wengine wapo sauz sitowataja na ambao ndo waliusafirisha mwili wa Mangwea. kamera za CCTV za uwanja wa JNA zimekuwa zikionesha ukaribu wa Diamond na wale watu waliotajwa na waziri kuwa walimsaidia Masogange kupitisha mzigo.

Pia safari za kimuziki sehemu mbalimbali duniani ambazo nyingi hupangwa/kutafutwa na vigogo wa madawa ya kulevya waliopo tanzania na wale waliopo sauzi(ambao wasanii wa bongo fleva wanawafaham).

Wakati huohuo serikali inajaribu kuchunguza akaunti za Diamond ambazo zinaonekana kubwa mno kulinganisha na kipato cha kawaida cha wasanii.

Uchunguzi bado unaendelea, lakini Diamond amekanusha kuhusika na sembe
Sasa Mwakyembe mbona matokeo ya uchunguzi hukuleta ?
 
Vuguvugu la kujaribu kuisafisha Tanzania kutokana na kushamiri kwa madawa ya kulevya limefikia hatua nzuri na yakipee. Mh Mwakyembe amejitoa haswa kupambana na hawa watu wauza unga, moja kati ya majina yanayosemekana ya wauza unga/punda ambayo yapo ktk kitengo internal intelligency lipo jina la msanii Diamond.

Inasemekana Diamond anaurafiki wa karibu na mabosi wa Masogange, ambao wengine wapo sauz sitowataja na ambao ndo waliusafirisha mwili wa Mangwea. kamera za CCTV za uwanja wa JNA zimekuwa zikionesha ukaribu wa Diamond na wale watu waliotajwa na waziri kuwa walimsaidia Masogange kupitisha mzigo.

Pia safari za kimuziki sehemu mbalimbali duniani ambazo nyingi hupangwa/kutafutwa na vigogo wa madawa ya kulevya waliopo tanzania na wale waliopo sauzi(ambao wasanii wa bongo fleva wanawafaham).

Wakati huohuo serikali inajaribu kuchunguza akaunti za Diamond ambazo zinaonekana kubwa mno kulinganisha na kipato cha kawaida cha wasanii.

Uchunguzi bado unaendelea, lakini Diamond amekanusha kuhusika na sembe
Ile tindikali imekula hadi afya ya akili daah Watu wabaya sana...
 
Back
Top Bottom